Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

DBXOC1yWsAAkjGa.jpg


DBWykvCWAAEyYaZ.jpg


 
Wrong bro. Real Madrid inaingia kama favorites. Wengi wanajaribu kujipa matumaini cos wanafikiria gap la mafanikio tutakaloacha tukibeba hiyo ndoo. Juve wako vizuri na wanaweza kushinda, ila game iko kwetu kushinda au kupoteza.
Ahsante sana mdau...me nazurura tu na jezi yangu mtaan
 
Duuhh nimegundua wanakaa siti kutokana na nature ya utaifa au lugha wanayozungumza ....

Luka v bale walikuwa tote na wanaongea kingereza

Motara asensio na carvajal both are Spanish

Varane v benzema French

Pepe v coentrao Portuguese
Ha ha ha nilijua nimeliona peke yangu hili, itakuwa sababu ya lugha!
 
Hizi jezi zetu leo vipi hizi...maana huwa zina kagundu kalikojificha....ile leo nasikia harufu yakuweka record....
Huo uzi hauna shida Mkuu, upo poa kabisa, kwanza tukivaa huo uzi vijana huwa wanatakata sana!! ninatarajia mkubwa Leo!! [HASHTAG]#Aporla12[/HASHTAG]!! #HalaMadrid¡¡
 
Hivi kumbe Clarence Seedorf akichezea Madrid pia me nilimjulia Inter Milan aiseh na sikuwahi fuatilia historia ya timu alizochezea.
Huyo jamaa anashikilia rekodi ya kuchukua huo ubingwa na vilabu tofautitofauti,alichukua na Ajax,alichukua na Madrid,alichukua na AC Milan!Alichukua pia na Arsenal!Sentensi ya mwisho ni utani.
 
We makuzi hii ndio nini?
tena nasikia wewe umepata hadi homa. pole mkuu maana Marcelo hawezi panda sababu ya Alves. mmeshafungwa kabla ya mechi. leo ''mashabiki'' wa Juve ni mwendo mdundo.

644b27b96ff85e92a1fa0a35741eb778.jpg
 
Back
Top Bottom