Hakika haswaHatimae Cardiff hiyo..
Hahahaha, inawezekana kwa kweli, sio kwa kile alichokifanya. Pole sana Mkuu, ila usihofu utapata nafasi ya kuangalia Final!! [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]!!Atakua kapata brain activator![]()
![]()
too bad leo nimeshindwa kuangalia game
![]()
![]()
[HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
Yule ni sawa na homa ya vipindi!! muda huu yupo poa ghafla anabadilka anakuwa gharasa, ila Leo ametusaidia kwa kweli, alifanya kazi nzuri!!Ila game ya leo mbadembade inataka manunda sio legelege ilimfaa sana ila ndio hivyo ugonjwa wake kakosa bao zuri la kichwa.
ninadhan hata yeye anajishitukia aisee, tumemiss Dani big time!! hope atapona mapema akatusaidie kule Cardiff, sababu kibibi kizee anatakiwa kipigwa na mvua ya mashambulizi kutoka pande zote!! Leo upande wa kulia ni sawa na tuliweka nguzo.Hakyanan me nakuambia...ni mchezaji wa kawaida sanaaa
Twendeni finaliYaan mpira ukirudishwa kwa navas mtu unaelekea kwenye korido ya choon.....
Yaah ile kupigana kwake palileta utulivu flan baada ya goli kupatikana ila modric na fransisco pale kati na Germany mashine walikuwa wana nyumbulika pale mpaka burudani.Yule ni sawa na homa ya vipindi!! muda huu yupo poa ghafla anabadilka anakuwa gharasa, ila Leo ametusaidia kwa kweli, alifanya kazi nzuri!!
Ukitizama siku ile nacho alicheza vizuri fullback pale alipoumia carvajar kuliko danilo sijui huwa ana wasi wasi gani!Danilo hua nikimuona kwenye line up napatwa wasiwasi in short sina imani nae thou sa zingine anakuaga superb
Ni afadhali angecheza Nacho kuliko Danilo kwa kweli!! yaani yeye awe anacheza game za akina Granada tu, kuna lile boko alilolitoa sema Navas akatusaidia, jamaa alitaka kupiga mpira kwa kichwa na kwa mguu wakati mmoja!! itakuwa vema tu akatembea mwisho wa msimu huu.Ukitizama siku ile nacho alicheza vizuri fullback pale alipoumia carvajar kuliko danilo sijui huwa ana wasi wasi gani!