Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

HALF TIME: Atleti 2-1 Real Madrid (Saúl 12', Griezmann 16' (p); Isco Alarcon 42') (2-4 agg.) [HASHTAG]#RMUCL[/HASHTAG] [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

C_fTnsJXUAAXoiF.jpg:large
 
ila hii gemu naona kabisa kuna mtu anakula red card kutoka team yeyote hasa tukiongeza goli la pili atletico wataanza kupiga buti maana watakuwa hawana cha kupoteza
 
Afadhali tumerudi kwnye game, itabid wajiulize wao sasa, tukirudi tunatafuta goli la pili tuwaongezee maumivu zaidi!! Wajipange tu!!
 
HT😀akika 20 za kwanza hatujacheza vzr kabisa...mara ya mwisho kucheza hovyo namna hii ni msimu ule tunafungwa 5 na barca.....nikiri kuwa beki zilipoteana kabisa pamoja na kipa....kiungo ikawa inapoteza sna mipira...hata hili goli nila kulazimisha zaidi kuliko mipango....hawa jamaa wakirudi kipindi cha pili watakuja kwa kas maana hawana chakupoteza....nahofia red kwa ramos au casmiro najua watapagawishwa sana ili wacheze rafu....ukiangalia hili game vzr isco ndio muamuzi wa hii match kwa upande wetu maana ndio anaendesha timu anavyotaka....inatakiwa awe na maamuzi ya uhakika na busara...aache kutoa pasi ambazo hazina macho...counter attack mbili hawa wanalia tena leo mapema....
 
HT😀akika 20 za kwanza hatujacheza vzr kabisa...mara ya mwisho kucheza hovyo namna hii ni msimu ule tunafungwa 5 na barca.....nikiri kuwa beki zilipoteana kabisa pamoja na kipa....kiungo ikawa inapoteza sna mipira...hata hili goli nila kulazimisha zaidi kuliko mipango....hawa jamaa wakirudi kipindi cha pili watakuja kwa kas maana hawana chakupoteza....nahofia red kwa ramos au casmiro najua watapagawishwa sana ili wacheze rafu....ukiangalia hili game vzr isco ndio muamuzi wa hii match kwa upande wetu maana ndio anaendesha timu anavyotaka....inatakiwa awe na maamuzi ya uhakika na busara...aache kutoa pasi ambazo hazina macho...counter attack mbili hawa wanalia tena leo mapema....


Atleti waliingia na surprise perfomance.
 
Back
Top Bottom