Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kazi nzuri sana kutoka kwa Modric, Navas, Isco na Marcelo, team ilipokata tamaa, wao bado walisimama!! Ngoja tukamilizane sasa na hawa vijana wa La liga, then tutaweka Mipango ya jinsi ya kumtoboa bibi Kizee
 
Sasa basi tuonane huko Cardiff akanyolewe mtu!! nimependa tu utulivu wa wachezaji wetu!! walitulia hata baada ya kufungwa., raha sana ukijua unachokitafuta!! [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]!!
Kocha simeone kelelele zake hazisaidiii ajifunze kutulia kama zidane
 
Back
Top Bottom