Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

30' Attempts on target:
Real Madrid: 6
Atletico Madrid:0
 
WOW!

C-2AmLcW0AAlqwd.jpg
 
Daa naikosa game hivi hivi,maeneo nilipo kuipata Dstv ni miujiza.
Iloopita Azam walionesha kupitia UBC Na Ktn Leo kimywaaa
game nyingi za uefa kupitia hizo channel hurusha jtano mkuu means kesho ya juve watairusha but jnne huwa hawazirush isipokuwa utaipata kupitia supersports
 
Casemiro recived a elbow in the face, His lip is injured.
 
yaani hawa tunatakiwa tukipata chance tu tunatia kambani sasa tukiremba remba watachomoaa ohoooo
 
HT:Kwa kwel naipongeza timu imecheza vzr sanaaa...imetulia vyema...japokuwa mapungufu ni mawili...benzema hajiamini kabisa hata ile hali yakuwin mpira akiwa na mtu mmoja imemtoka kabisa...nafikri anatakiwa sasa aanzie benchi ili apate hasira....nyuma pale ramos na varane waongeze mawasiliano...inakuwa kama wanategeana...vinginevyo katikati tumewamata haswa.....nafikri kiungo iache sana kupiga back-pass ipenye isonge mbele...hawa huwa tunawajua ukiwapa pressure mara mbili ile ya tatu lazima uwafunge na huwa wanakata tamaa mapema sana...kwa hiyo hawa tukibadilika kimtazamo kwa maana yakuchanja mbuga katikati yao naona kabisa goli zaidi ya mbili hapa..naziona tatu kbisa
 
Benz kawa na charz champlin anafanya vituko tiko tu pale tungekuwa na ma2 au 3 saa hizi
 
Back
Top Bottom