Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Good nite
Zidane hovyoo kabisa ,unanwachaje morata nje full time na MTU kashalimwa red...Tall, tumekosa magoli kama 8 hivi. Huyu Benzema angeenda bench before akaingia Morata maana ana uchu wa magoli naona angepiga hata mbili.
Tall, tumekosa magoli kama 8 hivi. Huyu Benzema angeenda bench before akaingia Morata maana ana uchu wa magoli naona angepiga hata mbili.






Zidane hovyoo kabisa ,unanwachaje morata nje full time na MTU kashalimwa red...
Unamwona kabisa benzema anazingua halafu unampa full time game!!!!
Zidane hovyoooo
Mkuu Salamander leo nimekasirika sana....huyu zidane utaifa unamponza sana...benzema leo anarukaruka tu...mora hapa leo ungezungumzia goli 3 kabisaaaTall, tumekosa magoli kama 8 hivi. Huyu Benzema angeenda bench before akaingia Morata maana ana uchu wa magoli naona angepiga hata mbili.
Mkuu umenifumbua macho, na hasira dhidi ya zidane zimeisha ....Zinade dhambi ya utaifa itammaliza kama baba ake Wenger.. toa Benzema weka Morata..
Kabaki mfungaji wa Magoli tu,kaishiwa Mpira wa ladha.Describe Ronaldo with one word plz
Real Madrid Naona anavyopigwa Bao Tano na Buyern Munich.
Nilishindwa kabisa kushabikia leo maana nazipenda sana hizi timu, ila wanapigana watoto wa nyumba moja sina haja ya kukaa pembeni kuwatazama hadi mwisho wa ugomvi wao (NAZIPENDA SANA HIZI TIMU MBILI)
PoleNionavyo hii ni halftime na lolote laweza kutokea Madrid
Kabaki mfungaji wa Magoli tu,kaishiwa Mpira wa ladha.