Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Nafasi ya kwanza, Benzema anakosa!! uzembe gani huu huyu kijana anao? watu mpo nyuma lakin anapata nafasi nzuri hivyo bado anakosa!!
 
Las Palmas wanacheza rough game Bale kapaniki mwisho wa siku imetu cost... Ila siwezi mlaumu sana Bale kwa kile kitendo
 
Las Palmas wanacheza rough game Bale kapaniki mwisho wa siku imetu cost... Ila siwezi mlaumu sana Bale kwa kile kitendo
Mkuu bale kaona ujinga mkubwa adui yake a drible mpira mbele yake na maana akacheza takle behind ambayo n straight red card lakn hyo haikutosha akaamua kusukumana na Adui yake ambalo n kosa kubwa sana...
 
Mkuu bale kaona ujinga mkubwa adui yake a drible mpira mbele yake na maana akacheza takle behind ambayo n straight red card lakn hyo haikutosha akaamua kusukumana na Adui yake ambalo n kosa kubwa sana...
Bs.....tell it to the birds....
 
Nimependa nilichokiona kwa kweli, down to 10 men, and behind too, lakin vijana wamepigana wakakomboa goli mbili!! HalaMadrid!!
 
We were shit, but we freakin deserved the points, how can you call these offside FFS!



16996365_1517085851649503_2359273036078537446_n.jpg
 
Back
Top Bottom