Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Morata's two goals were wrongly disallowed !!

16996365_1517085851649503_2359273036078537446_n.jpg
 
4 - Keylor Navas has made more errors
leading to goals than any other La Liga
player this season (all competitions).
[HASHTAG]#Strange[/HASHTAG].
 
Mwaka huu huko Spain, ni lazima Real Madrid awe bingwa...maana marefa wanawabeba sana.
Maamuzi mengi sana yenye utata yanakua yanawapa advantage Real Madrid
 
Mwaka huu huko Spain, ni lazima Real Madrid awe bingwa...maana marefa wanawabeba sana.
Maamuzi mengi sana yenye utata yanakua yanawapa advantage Real Madrid
magoli ma 3 ya morata yamekataliwa offside, huku mawili yakiwa onside, au unakusudia marefa wanatukandamiza sisi real madrid?
 
Timu inaruhusu sana magoli. Huu uzembe sijui utaisha lini. De Gea karibu Santiago.
 
bado mechi 3 zidane out mwenzenu wa barcelona alishasalim amri barcelona wavumilivu lakin madrista we subir uone
 
tunahitaji kipa mpya, ronaldo asicheze dakika 90, apewe 45 tu, pia pengo la modric na casemiro ni ngumu sana kuzibika, hawa watu wakikosekana kwenye mechi madrid anapata tabu sana, pia zidane anahitaji kuwapa morale, maana jamaa wamekua wabovu sana siku hizi.
 
Back
Top Bottom