Napoli hana atakalolifanya scnd leg labda tuwe na off-list hii ya majeruhi modric,kroos,Marcelo, ronaldo na baleI know it is very hard for you, lakini tunakushukuru sana kwa kukesha kusubiri matokeo.
Yaani Napoli amtwange RMA 2-0? Patachimbika
mtapachimba na forward gani? eti katika huu mwaka jana Ronaldo ndiyo kacheza vizuri! Napoli forward zao zinafunga balaa.Yaani Napoli amtwange RMA 2-0? Patachimbika
tumefikaje apo bila forward, tume ongoza vp Laliga bila forward acha maneno weka mzikimtapachimba na forward gani? eti katika huu mwaka jana Ronaldo ndiyo kacheza vizuri! Napoli forward zao zinafunga balaa.
Kwani Jana zimefunga mangapi?mtapachimba na forward gani? eti katika huu mwaka jana Ronaldo ndiyo kacheza vizuri! Napoli forward zao zinafunga balaa.
jana kafunga Insigne tu labda sababu ya ugenini. lakini mertens, Callejon na Hamsik wote hufunga, Napoli ndiyo wanaongoza kwa kufunga goli nyingi kwenye serie A. stadio san paolo moto utawaka.Kwani Jana zimefunga mangapi?
Achana na Mabingwa wa kihistoria tushaingia Robo fainalijana kafunga Insigne tu labda sababu ya ugenini. lakini mertens, Callejon na Hamsik wote hufunga, Napoli ndiyo wanaongoza kwa kufunga goli nyingi kwenye serie A. stadio san paolo moto utawaka.
Naona una-fustration za kutolewa UEFA maana uko bize kuomba dua la kuku lisilompata mwewe.jana kafunga Insigne tu labda sababu ya ugenini. lakini mertens, Callejon na Hamsik wote hufunga, Napoli ndiyo wanaongoza kwa kufunga goli nyingi kwenye serie A. stadio san paolo moto utawaka.
Yaani majirani wamechanganyikiwa mpaka wanawaza kinyumenyume. Napoli siyo timu ya kututoa kamwe.matokeo yangekuwa 2-1 sawa, ila 3-1 matumaini bado yapo sana tu.
i was just being a killjoy!. ngoja tusubiri tarehe 7&8.Naona una-fustration za kutolewa UEFA maana uko bize kuomba dua la kuku lisilompata mwewe.
hahahaa hawaamini kilichowatokea.Yaani majirani wamechanganyikiwa mpaka wanawaza kinyumenyume. Napoli siyo timu ya kututoa kamwe.