Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #23,441
Commentator:"The role Pepe has played this year, he should be one of the contenders for Ballon D'or"
Mkuu kama uliota vile, nimetoka tu kidogo nimerud nimekuta mambo yamebadilika!!Wasipojipanga Sporting wanaweza kupiga bao.
Mkuu kama uliota vile, nimetoka tu kidogo nimerud nimekuta mambo yamebadilika!!
Kama bado vijana wetu wana uchovu hiv, haswa Lucas Vasquez, Modric na Kovacic. Hope game ya Kombe la mfalme hawatocheza ili kuwa fresh dhidi ya barca,
Kweli kabisa Mkuu, hilo ndio tatizo la James, Danilo kwa kweli sijui ni nin!! jamaa ni kama homa ya vipindi, kuna mda atafanya vizur, akipewa nafasi nyingine anazingua, yaani ni shida kweli kweli !!James pia anacheza vizuri lakini mara nyingi anakuwa kama hii game ameikamia aonyeshe matokeo yao anapoteza mipira na Danilo anatakiwa awe makini maana hawa jamaa wameona huku ndio njia.
Huwezi amini, nilishasahau kama jamaa yupo uwanjani!!Benzema touched the ball only 6 times in the first half. Embarrassing.