Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,706
- 6,373
Lukita ON for Kovacic
Huyo Salamander hampendi Ronaldo sio juzi wala jana ni kitambo tu hata chuki zake hazijulikani zinatoka wapiMkuu Rapherl, hakuna mtu mwenye chuki na CR7 haswa sisi mashabiki wa Real Madrid, wapinzan wetu ni case nyingine!! Cr7 kama mchezaji na mwingine yeyote inapopashwa kupewa sifa atapewa, na pia kama kuna sehemu ya kukoselewa itafanyika pia, wew umekuwa humu ndani kwa muda sasa, hua unaona. Mchezaji kukoselewa ndani ya Real Madrid ni jambo la kawaida sana, so usichukulie kama chuki, hicho ndio kinatofautisha mashabiki wa Real Madrid na mashabiki wa team nyingine!!
Huyo Salamander hampendi Ronaldo sio juzi wala jana ni kitambo tu hata chuki zake hazijulikani zinatoka wapi
Ila sishangai mtu yeyote mwenye mafanikio katika maisha huwa anachukiwa(na watu wenye roho ya korosho)
Not only a fanboy but also Cristiano and Madrid die hard fan.... Nimekwambia kinachokuhusu so if u take it personal ni tatizo lako mi halinihusuOkay, now you take it to that level, nina roho ya korosho namchukia Ronaldo kwa mafanikio yake, seriously? That's nonsense, If you would like to talk football KARIBU, hayo mambo mengine yako. I know you're a fanboy, but tbh today also Ronaldo had another off game. He's 31 and many players lose their form in this age especially if you are a winger or a striker... still he's playing and wants to give his 100%. I hope he finds his form back ASAP. [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
Not only a fanboy but also Cristiano and Madrid die hard fan.... Nimekwambia kinachokuhusu so if u take it personal ni tatizo lako mi halinihusu
Wachezaji wote wanakosolewa ila wewe unachuki huo ndio ukweli, mimi naelewa tofauti ya kukosoa na chuki.....
Wewe Unachuki.