Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Cristiano got booked for arguing with ref for a foul....
 
Kroos with FK to Varane's header deflected from Morata to the goalie but Bale snatched it from in front of him to score Real Madrid 2nd goal today
 
Half Time: Real Madrid 2 - 0 CD Leganes (Gareth Bale 38', 45'+1'). [HASHTAG]#RMLiga[/HASHTAG] [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

Cwk6rk4XAAAJ2ff.jpg:large
 
Expected a better half but 2-0 at half time should ensure the 3 points.
 
So far so good!! kama kawaida tumeanza game slow ila kadri mda ukivyokuwa unasonga na team ilikuwa inaimarika japokuwa sio sana sababu hawa wapinzan wetu wanaweza kukaba na pia viungo wetu wacheza chini sana, so bado katikati kuna shida kidogo!! Muhimu ni kuwa tunaongoza goli mbili hope Leo hatutachafua gazeti!!
 
Bale baada ya kuongezewa mshahara kaanza kujituma tena, it's all good for the team. Naanza kuona ushindi el classico


Atleti wanachonga kwamba watashinda hiyo game.
 
Back
Top Bottom