Sio masikhara Ndg, yaani beki zinakaba kwa macho tu.
Waliporudisha ikawa 2-2 nilipandwa na jazba ya ghafla sana.ilipokuwa 2-0 nikataka nikalale nikasema ngoja niangalie first half tu, heee Legia waliporudisha na hamu ya kurudi kulala ikaisha tumecheza hovyo sana
Hata leo ule mfumo alivo chezesha sja muelewaLakini akirudi Casemiro, Pepe akiwemo na Modric pia Marcelo akiwa kwenye fomu Sioni timu ya kutusumbua zaid ya Atl Madrid kiukweli. Hivyo usishangae tukatetea.
afu kizembe tu, kwa kweli mtu unaweza fanya jambo la hasara kwa mambo ya kijinga yanayofanywa na wachezaji ronaldo, kroos sijui wamekula maharage ya wapi wale leoWaliporudisha ikawa 2-2 nilipandwa na jazba ya ghafla sana.
Navas goli la pili ni uzembe uliotukukaGame ya leo
Kroos alikuwa haeleweki , anahitaji kupumzika
Beki mbovu, lakini na Navas naye sasa ndio kajikuta hata heroic moments anazikosa.
Tuna mmis Casemiro kwa sana
Hakukuwa na haja ya kuwachezesha Morata na Benz wote, ingekuwa vyema kama Isco angepewa chance acheze
Any way ndio mpira huo Zidane ajifunze maana game zinazo kuja tutakuwa exposed sana tukizembea
Ni uzembe usiovumilika, japo wanatusaidia mara nyingi ila uzembe wa hivi haukubaliki.afu kizembe tu, kwa kweli mtu unaweza fanya jambo la hasara kwa mambo ya kijinga yanayofanywa na wachezaji ronaldo, kroos sijui wamekula maharage ya wapi wale leo
Yaani kajaza forward then nothing more expected!! Bora 4-4-2 ingestabilize na jamaa wangepata goli moja tu.Hata leo ule mfumo alivo chezesha sja muelewa
Japo pengo la Casemiro ni kubwa sana pia
Hapo tunatakiwa tumpige Dortmund akija Bernabeu ili atleast tuongoze kundi, hapo bado tutukuwa kibarua cha kuwafuata Lisbon kwao!!Sasa hapa tunasaka ngapi tufuzu na huku tukimiliki 8 na Dort ashakunja 10 zake.
Game ya leo
Kroos alikuwa haeleweki , anahitaji kupumzika
Beki mbovu, lakini na Navas naye sasa ndio kajikuta hata heroic moments anazikosa.
Tuna mmis Casemiro kwa sana
Hakukuwa na haja ya kuwachezesha Morata na Benz wote, ingekuwa vyema kama Isco angepewa chance acheze
Any way ndio mpira huo Zidane ajifunze maana game zinazo kuja tutakuwa exposed sana tukizembea
Kwa 4-4-2 tungewapiga tena mkono, ila kituko Zizou alichokuja nacho Leo ndio shida kabisa, watu walitaka Morata aanze badala ya Benzema sio wote waanze, au ndio anataka ujumbe kuwa Benz hawezi kukaa bench?Yaani kajaza forward then nothing more expected!! Bora 4-4-2 ingestabilize na jamaa wangepata goli moja tu.
James sijajua ana nini maana sidhani kama hata benchi alikuwepo leoNavas goli la pili ni uzembe uliotukuka
Hapo pa morata na benz i support
afu mbona sion Rodriguez akicheza mara kwa mara ni majeruhi?
Na kweli hivi utachezajeTatizo kubwa la Madrid lilikuwa kiungo jamaa wakija wanapita kama wanavyotaka pia Zizou alichemsha kuwapanga Benzema na Morata mmoja angeanza bench ku-balance timu
Benzema yupo bize huko Instagram kuonesha Mansion na Luxury Motors maana hana cha kupoteza ukizingatia umri alionao huku UEFA mbili kibindoni.Kwa 4-4-2 tungewapiga tena mkono, ila kituko Zizou alichokuja nacho Leo ndio shida kabisa, watu walitaka Morata aanze badala ya Benzema sio wote waanze, au ndio anataka ujumbe kuwa Benz hawezi kukaa bench?
Jamaa amecheza aina ya mchezo ambao aliwafanya kina kroos na kov wachoke sana bila sababu, halafu washambuliaji wa nne michezo ya miaka ya 60 hiyo kwa kuwa ni rahisi kupigwa counterKwa 4-4-2 tungewapiga tena mkono, ila kituko Zizou alichokuja nacho Leo ndio shida kabisa, watu walitaka Morata aanze badala ya Benzema sio wote waanze, au ndio anataka ujumbe kuwa Benz hawezi kukaa bench?
Man! acha kabisa, jana Zizou alinichosha kabisa aisee, Kroos alichoka completely, mpaka hata pass anapoteza, ule mfumo wa jana uliwaumiza zaid Kroos na Kovacic sababu walikua na kazi ya kuzuia na pia kupandisha mashambulizi huku hao akina BBC wakishangaa sharubu tu kule mbele wakisuburi mipira!! Sijui Zizou alifikiria nini kwa kweli!!Jamaa amecheza aina ya mchezo ambao aliwafanya kina kroos na kov wachoke sana bila sababu, halafu washambuliaji wa nne michezo ya miaka ya 60 hiyo kwa kuwa ni rahisi kupigwa counter
Nadhani kelele za kumchezesha Morata zilimfanya leo awapange wote ila that was pathetic.