Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Asensio comes ON for Fabio Coentrao. An attacking change by Zidane.
 
Legia scored their 3rd goal with a lot of defensive errors from Real Madrid
 
Carvajal with a clever back-heel and Kovacic with perfect execution and it's 3-3 now. What a game!
 
FULL TIME: Legia Warsaw 3 - 3 Real Madrid (Odjidja 40', Radovic 58' Moulin 83'; Gareth Bale 1', Benzema 35', Mateo Kovacic 85'). [HASHTAG]#RMUCL[/HASHTAG]

CwSaiSxXgAMnLJw.jpg:large
 
Ila matokeo yetu hayaridhishi kabisa. Ningekuwa Perez ningeweka vipengele vya kukata posho na mishahara timu inapopoteza au droo dhidi ya timu za aina ya Legia.
 
Ila matokeo yetu hayaridhishi kabisa. Ningekuwa Perez ningeweka vipengele vya kukata posho na mishahara timu inapopoteza au droo dhidi ya timu za aina ya Legia.
Hahaha
Nikiangalia sana kwenye UCL sio mwaka wetu hasa ukizingatia historia ina tuhukumu
Ila kila siku ninekuwa nikilia na defense yetu toka hata ramos hajaumia, hatuja kaa sawa bado
 
Ila matokeo yetu hayaridhishi kabisa. Ningekuwa Perez ningeweka vipengele vya kukata posho na mishahara timu inapopoteza au droo dhidi ya timu za aina ya Legia.
Aaah
Kwa namna yoyote kutoka sare na legia warsaw ambayo ni ya sita kwenye ligi yao, its embarrassing yaani leo Zidane ana kesi ya kujibu
But its ok 27 games undefeated nadhani
 
Hahaha
Nikiangalia sana kwenye UCL sio mwaka wetu hasa ukizingatia historia ina tuhukumu
Ila kila siku ninekuwa nikilia na defense yetu toka hata ramos hajaumia, hatuja kaa sawa bado
Lakini akirudi Casemiro, Pepe akiwemo na Modric pia Marcelo akiwa kwenye fomu Sioni timu ya kutusumbua zaid ya Atl Madrid kiukweli. Hivyo usishangae tukatetea.
 
Back
Top Bottom