Real madrid fc 'the galacticos!'

Real madrid fc 'the galacticos!'

Mdau who is baba kichanga n who score the first goal? I wish ndio ingekuwa fainali ya kombe la mfalme tujipoze na kakombe.
 
Mdau who is baba kichanga n who score the first goal? I wish ndio ingekuwa fainali ya kombe la mfalme tujipoze na kakombe.

Di Maria, goal la kwanza ni own goal by Juanfran, Di Maria alipiga free kick
Kombe la Mfalme letu Mkuu
 
Dah tusijiamini sana mkuu mpira unadunda. Kweli Madrid ndio gumzo la dunia yaani yule dogo kutufunga kwa magoli ya kuotea na penati nyepesi ameshakuwa maarufu duniani, angewafunga AC milan ingeonekana kawaida tu.
 
Cavalho kacheza vizuri sana leo, Falcao kafichwa, Diego Costa bahati yake mbabe wake alikua hayupo na Diego Lopez alikua brilliant, Casillas asubiri Mou aondoke, ila kama atakuja kocha makini, Lopez anakiwango zaidi ya Iker
 
Dah tusijiamini sana mkuu mpira unadunda. Kweli Madrid ndio gumzo la dunia yaani yule dogo kutufunga kwa magoli ya kuotea na penati nyepesi ameshakuwa maarufu duniani, angewafunga AC milan ingeonekana kawaida tu.
Gang Chomba anasema hata udunde vp hauwez kudunda baharini
 
Iker masifa yalimzidi acha atulie tu, alidhani bila yeye hakuna Madrid kumbe anajidanganya tu keshageuka mtazamaji na maisha yanaendelea kama kawaida.
 
J4 ikiwezekana watu wawili wa BD wafanyiwe man making, Reus na Goetze, ila Pepe aanzie bench na Di Maria aanze hiyo match
 
J4 ikiwezekana watu wawili wa BD wafanyiwe man making, Reus na Goetze, ila Pepe aanzie bench na Di Maria aanze hiyo match

Kwa kweli mi sikuona sababu ya Di Maria kuanzia bench maana usumbufu wake unasababisha mabeki wasipate muda wa kupanda, pia bora Pepe angemuweka pembeni kati amalize Verane na Ramos.
 
Kwa kweli mi sikuona sababu ya Di Maria kuanzia bench maana usumbufu wake unasababisha mabeki wasipate muda wa kupanda, pia bora Pepe angemuweka pembeni kati amalize Verane na Ramos.

Alichelewa kireport mkewe ndio alikua anajifungua ndio maana alianzia bench, J4 bora hata Essien aanzie beki wa kulia, kacheza vizuri sana leo
 
Kwa kweli mi sikuona sababu ya Di Maria kuanzia bench maana usumbufu wake unasababisha mabeki wasipate muda wa kupanda, pia bora Pepe angemuweka pembeni kati amalize Verane na Ramos.[/QbUOTE]
But i'm not sure kama essien ni mzima!
 
Alichelewa kireport mkewe ndio alikua anajifungua ndio maana alianzia bench, J4 bora hata Essien aanzie beki wa kulia, kacheza vizuri sana leo

Essien ni muhimu sana kwa sasa anaimudu vyema beki ya kulia, hata mechi na Galatasary tulianza kushambuliwa na hatimaye kupigwa nyingi baada ya yeye kuumia hata sasa sidhani kama amepona vizuri.
 
Today we say goodbye to "the special one", pamoja naye kuna wachezaji watakua wanacheza match ya mwisho leo, Cavalho, Higuain, Di Maria, Essien and may be Modric
 
Back
Top Bottom