Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
Leo kazi ipo kadri muda unavyokaribia na mapigo ya moyo yanazidi kukatisha tamaa, wale jamaa hawaeleweki kabisa hasa kale kababu kao kalikobackdate umri ili kajiite baby kana sifa sana utadhani timu ya baba yake.
Hongera Mkuu