Real madrid fc 'the galacticos!'

Real madrid fc 'the galacticos!'

Leo kazi ipo kadri muda unavyokaribia na mapigo ya moyo yanazidi kukatisha tamaa, wale jamaa hawaeleweki kabisa hasa kale kababu kao kalikobackdate umri ili kajiite baby kana sifa sana utadhani timu ya baba yake.

Hongera Mkuu
 
Modric kanifurahisha sana leo aisee but yote kwa yote nimependa jinsi ambavyo Carlo Anceloti anavyomtumia Dimaria katika ule mfumo wa 4-3-3 tofaut na zamani alivyokuwa anacheza kama wing katika ule mfumo wa 4-4-2 ambapo alikuwa anaonekana mchoyo sana.
Big up Carlo.
 
AKHSANTE LEVANTE kwa kunisimamishia haka kajamaa kanaitwa ATLETICO MADRID 2-0,sasa mwaka huu ni mwendo wa ndoo tatu,UCL kichwani,copa del rey mkono wa kushoto na LA LIGA mkono wa kulia!msituchukie jamani,ndo uwezo wetu huo!
 
mh! tumetoa droo mzee kwa hiyo ubingwa wa ligi sijui
 
Daah!roho imeniuma saana,but at least hiyo point moja!
 
Hili kombe nina hakika Barca atampiga Atlet
 
Hili kombe nina hakika Barca atampiga Atlet

Mh!Tatizo barca wameshaanza kupoteza hope na LA LIGA msimu huu,wanaweza kumlegezea akashinda kiulaini kama simba kwa azam ili amkomoe YANGA.Lakini pia wanaweza kumkazia kama kisasi cha wao kutolewa UCL,anyway let us wait because in europe it is not over untill it is over!
 
Roho imeniuma sana

Hawa Valencia sijui wametumwa?!
 
Yaani Madrid tumekuwa kama Liverpool, unaokota fuko la hela unakimbia nalo polisi wampe mwenyewe.

Mambo ya kuomba matokeo ya wenzio yaweje hayana maana.
Ila naamini Atletico kuna points ataziacha kwa Barcelona n nasisi tutashinda zote?

All in all kile CHIZUNGU cha CR7 kimenikosha sana, jamaa kila kukicha analeta ubunifu mpya, muda si mrefu Shifta atamkubari kama m'badala wa nabii wa soka Dhino Gaucho.
 
AKHSANTE LEVANTE kwa kunisimamishia haka kajamaa kanaitwa ATLETICO MADRID 2-0,sasa mwaka huu ni mwendo wa ndoo tatu,UCL kichwani,copa del rey mkono wa kushoto na LA LIGA mkono wa kulia!msituchukie jamani,ndo uwezo wetu huo!


usimtekenye aliekubeba...
Akishtuka atakuangusha
 
kiporo mwenzie friji...
Ona sasa bwabwa limechacha...ndondo limechacha


Heshima yako buluda, hapa poro kweli haliliki ila tar 24 tunaokota ndoo muhimu kuliko yote kwa clubs. Azzuri naitabiria safari ya mapema sana kwenye lile kundi.
 
Back
Top Bottom