DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,547
- 2,749
Mkuu bayern na Chelsea wameshatolewa. Kawatembelee mabookies ujivutie
A. Madrid watawezaje kushinda, kuzuia wasifungwe London?
Madrid asipofunga goli la pili , ataenda kutolewa Germany
Mkuu bayern na Chelsea wameshatolewa. Kawatembelee mabookies ujivutie
Gardiola anaijua sana RMA
Dakika ya ngapi wakuu?
A. Madrid watawezaje kushinda, kuzuia wasifungwe London?
Madrid asipofunga goli la pili , ataenda kutolewa Germany
UCL final Real Madrid vs Atletico Madrid. You heard it here first.
Atletico wata force draw ya magoli London. NO Cech, no Lampard, No Terry, No Mikel Chelsea wapo vulnerable. Madrid watakwenda kwa ushindi, tatizo la Bayern wanakuwa exposed kwa counter Madrid walivyo na pace wanaweza kupata goli Munich.
Mark Shwanzer golini!
Beki za pembeni Azzp na Cole
Beki za Kati ni Cahill na Ivanovic
Viungo wawili Wa Kati ni Luiz Na Ramires.
Attackers Willian Oscar na Hazard
Strikers utachagua mwenyewe Kati ya Torres na Ba Na Eto'o.
Usikae mnadanganyana hapa!
Atletico wata force draw ya magoli London. NO Cech, no Lampard, No Terry, No Mikel Chelsea wapo vulnerable. Madrid watakwenda kwa ushindi, tatizo la Bayern wanakuwa exposed kwa counter Madrid walivyo na pace wanaweza kupata goli Munich.
Atletico wata force draw ya magoli London. NO Cech, no Lampard, No Terry, No Mikel Chelsea wapo vulnerable. Madrid watakwenda kwa ushindi, tatizo la Bayern wanakuwa exposed kwa counter Madrid walivyo na pace wanaweza kupata goli Munich.
hiki kikosi mkipanga unfield tuu mnatafunwa mbayaaa.
Torres na babu etoo mbona KAZI mtaipata siku hiyo.
mnaenda kwa nguvu za Giza nyie
Goli la Madrid limetokana na counter pamoja na makosa ya mabeki wa Munich. Terry pamoja na uzee bado ni key player katika Defense ya Chelsea na anapokosekana unaweza kuona mapungufu. Pamoja ya kuwa sub Lampard akicheza anakuwa na big contribution kubwa kuliko wachezaji kama Mikel na Ramirez. Hivi dogo kwa kibelgium na yeye si majeruhi au kashapona na kucheza 2nd leg?Lampard na Mikel ni part time players siku hizi {Kwahiyo hakutakuwa na pengo}, Terry kuna watu wanaweza kuziba pengo lake [ingawa siku hizi sijui ni uzee au, jamaa kafulia}, tatizo labda litakuwa kwa kipa.
Hizo counter attacks kwanini wasingezipiga leo hao Madrid? kule Germany ball possession itakuwa 70-30 [sijui watachomokaje hapo}
hiki kikosi mkipanga unfield tuu mnatafunwa mbayaaa.
Torres na babu etoo mbona KAZI mtaipata siku hiyo.
mnaenda kwa nguvu za Giza nyie
baba yao Mourinho, ameanza kuleta mind games kuwa ETI atapanga kikosi cha KAWAIDA pale ANFIELD!!!
hahahaha!!!
baba yao Mourinho, ameanza kuleta mind games kuwa ETI atapanga kikosi cha KAWAIDA pale ANFIELD!!!
hahahaha!!!
Mourinho ana hila za kibebish sana, bado anafikiri watu wanacheza na viuongo vya zamani