Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
Tukutane mwisho wa mechi ya leo baada ya Madrid kufungwa na Barca
Ni ngumu saana barca kushinda kwa leo but yote kwa yote tusubiri dakika 90.
Tukutane mwisho wa mechi ya leo baada ya Madrid kufungwa na Barca
:biggrin1: hawa ni wale watanzania conservatives...wamekulia wamesomea na wanaishi bongo kwa hiyo hata cultures za nje wanakua hawazitaki...mimi mipira ya bongo naangaliaga hasa kama yanga ikicheza coz my local team ni yanga lakini mpira wa bongo hata dakika 90 kumaliza inakua ngumu our local football is very poor compared na european soccer tuliyozoea....ila jamaa anamaindi anaona kama vile tunaukana u-africa nataka nimpeleke old trafford siku moja labda ataanza kushabikia man utd :happy:
wakuu mech muda gan na chanel ipi
Supersport saa 4:55 usiku
Mkuu kwanza tujipe pole yani ilikuwa hai tete, nailaumu defence na refa.Kwa south African time tuko mbele kwa saa limoja, kwa GMT ulaya tuko mbeele masaa matatu.Mkuu ni 5 kasoro au 6 kasoro? Muda ulioandikwa ni 21:55 yaani 4 kasoro sasa tofauti yetu ni saa moja au mawili?
Ah wapi!our mega test was against Atletico!
UCL final Real Madrid vs Atletico Madrid. You heard it here first.
Umechukua mikoba ya Sheikh Yahya sasa ehe?
Ukibet hivyo dah bookies wanajichukulia hela yao kirahisi kabisa