Real madrid fc 'the galacticos!'

Real madrid fc 'the galacticos!'

Dakika ya 81 malaga 3 madrid 2 maskini gape limekuwa point 16 nyuma ya Barcelona madrid kwishney
 
Full Time malaga 3-2 Real Madrid...ukiunganisha na ushindi wa Barcelona dhidi ya Valladolid Real madrid ameachwa point 16 na hasimu wake Barcelona na point 7 nyuma ya Atletico Madrid walio nafasi ya Pili

Roque santa Cruz alie malaga kwa Mkopo kutokea Man city ni man of the match kwa kutupia goli mbili
 
Acha tujitahidi tumalizie ligi kwa heshima tu,hiki kikombe ni 150% kwa Barca,i admit,inanisikitisha kweli,nasikia Mou na Ronaldo wanatakiwa kwa udi na uvumba PSG.
 
Full Time malaga 3-2 Real Madrid...ukiunganisha na ushindi wa Barcelona dhidi ya Valladolid Real madrid ameachwa point 16 na hasimu wake Barcelona na point 7 nyuma ya Atletico Madrid walio nafasi ya Pili

Roque santa Cruz alie malaga kwa Mkopo kutokea Man city ni man of the match kwa kutupia goli mbili


Halafu mi miaka yote sijuagi Kashengo unashabikia timu gani...
Maana dah
 
Acha tujitahidi tumalizie ligi kwa heshima tu,hiki kikombe ni 150% kwa Barca,i admit,inanisikitisha kweli,nasikia Mou na Ronaldo wanatakiwa kwa udi na uvumba PSG.

Kwani Anceloti kawakosea nini, mpaka wamuhitaji Kocha mwenye life span ya miaka 2.5!!!?
 
ukisajili mspain yoyote turati hutonikosa,hata Manolo el del Bombo Caceres
Sorry nilikuwa na haraka kuwahi Catalonia vs Nigeria jana,1-1 Sergio Gonzalez mchezaji wa zamani wa Espanyol alifunga bao kwa Catalonia ambayo inajumuisha wachezaji waliozaliwa jimbo la Catalon,sasa nikamuona Bojan Krkic Perez nikakumbuka AC Milan wanae Mspain kumbe,wachezaji wa Barca waliocheza ni Puyol i Saforcada,Xavi i Creus na Pique i Bernebeu,Xavi na Puyol walitoka,nma alikuwepo chipukizi Bartra,walipumzisha wengine 7bu ya mechi vs espanyol j2 kina Busquets,Valdes,Alba na Fabregas hawakuwemo na hata Espanyol walipumzisha,mechi ilichezwa ufukweni el prat cornella uwanja wa Espanyol,Nigeria walikuwa wanajiandaa kwenda AFCON 2013 SA
 
Sorry nilikuwa na haraka kuwahi Catalonia vs Nigeria jana,1-1 Sergio Gonzalez mchezaji wa zamani wa Espanyol alifunga bao kwa Catalonia ambayo inajumuisha wachezaji waliozaliwa jimbo la Catalon,sasa nikamuona Bojan Krkic Perez nikakumbuka AC Milan wanae Mspain kumbe,wachezaji wa Barca waliocheza ni Puyol i Saforcada,Xavi i Creus na Pique i Bernebeu,Xavi na Puyol walitoka,nma alikuwepo chipukizi Bartra,walipumzisha wengine 7bu ya mechi vs espanyol j2 kina Busquets,Valdes,Alba na Fabregas hawakuwemo na hata Espanyol walipumzisha,mechi ilichezwa ufukweni el prat cornella uwanja wa Espanyol,Nigeria walikuwa wanajiandaa kwenda AFCON 2013 SA
Na yule mzee Johan Cruyf akastaafu rasmi kama kocha wa Catalonia.
 
Na yule mzee Johan Cruyf akastaafu rasmi kama kocha wa Catalonia.
swadakta ntakupatia tiketi usikose camp nou j2 hii,yani kila kona kuanzia terrassa,sabadell,arenys de mar,llobregat,girona nk wanazungumzia kuhusu mechi kati ya FC Barca na timu ya kifalme ya Espanyol,Real maana yake royal au ukoo kwa kifalme,hawa wanaitwa Real Club Deportivo Espanol RCD Espanyol,hii ktk jiji la Barcelona mfalme mdogo aliepata kutawala Spain akiwa na miaka 16 Alfonso wa 13 aliinzisha sambamba na pale jijini Madrid alipokuwa na miaka 16 anapewa ufalme mwaka 1902 na mnamo 1920 akatoa jina Real Madrid,na rais maaruf mwenye rekodi anaekumbukwa wa club hapo Real Madrid aliitwa Santiago Bernebeu Yeste.Timu zingine za kifalme ni Real Sociadad iliyopo jijini San Sebastian au mtakatifu Sebastian Km 20 mpakani na France wanapotokea Arteta na Xabi Alonso Olano,Real Zaragoza ya Aragon,Real Betis ya Sevilla,Real Mallorca ya Majorca visiwa ya Palma Beveric
 
swadakta ntakupatia tiketi usikose camp nou j2 hii,yani kila kona kuanzia terrassa,sabadell,arenys de mar,llobregat,girona nk wanazungumzia kuhusu mechi kati ya FC Barca na timu ya kifalme ya Espanyol,Real maana yake royal au ukoo kwa kifalme,hawa wanaitwa Real Club Deportivo Espanol RCD Espanyol,hii ktk jiji la Barcelona mfalme mdogo aliepata kutawala Spain akiwa na miaka 16 Alfonso wa 13 aliinzisha sambamba na pale jijini Madrid alipokuwa na miaka 16 anapewa ufalme mwaka 1902 na mnamo 1920 akatoa jina Real Madrid,na rais maaruf mwenye rekodi anaekumbukwa wa club hapo Real Madrid aliitwa Santiago Bernebeu Yeste.Timu zingine za kifalme ni Real Sociadad iliyopo jijini San Sebastian au mtakatifu Sebastian Km 20 mpakani na France wanapotokea Arteta na Xabi Alonso Olano,Real Zaragoza ya Aragon,Real Betis ya Sevilla,Real Mallorca ya Majorca visiwa ya Palma Beveric
guti, hawa espanyol si tu ni wapinzani, ni wabaya wa Barca pia. espanyol ilipoanzishwa, lengo lilikuwa kuhakikisha wanaidhoofisha Barca na utawala wa madrid walikuwa wanajaribu kuibana Barca kwa kila namna, lakini bahati mbaya kwao ni kuwa tangu kuanzishwa kwake mpaka sasa espanyol imemaliza ligi juu ya Barca mara 3 tu.
 
Mpaka dakika ya 39,R.MADRID 2-2 SOCIEDAD.
 
Back
Top Bottom