ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 908
- 604
- Thread starter
- #41
Lakini mkuu tuchukulie mfano wa hawa supersport wanavyorusha live game za kenya KPL na huenda si muda mrefu wakaanza hata hapa bongo, unadhani italeta impact gani kama sio kuzifanya timu za east africa kuwa na fans kutoka nchi mbali mbali, usishangae leo ukienda kampala utakutana na fans kibao wa young african SC.Sitaki ushujaa wa kupewa.
Lets go for facts...
Hujihisi mtumwa kwa kudai eti your heart ni Arsenal (kitu ambacho unajua si kweli)?