Re: Ujinga

Ujinga ni kumzuia dada yako asipendwe wakati wewe mwenyewe una pata dada wa wenzako.

ujinga ni nchi kuwa na uchumi unaopaa wakati wananchi ni maskini wakutupwa na Rais hajui kwa nini wakati ni Mchumi
 
ni ujinga kuwaambia wanainchi wapige mbizi wakati wewe ni kiongozi wao
 
Ujinga ni kuona huruma kuchinja mnyama,halafu mezani wa kwanza kula nyama!
 
Ni Ujnga kustuliwa usngzni unaota ndto nzr na kulala tena ili ndto ile iendelee
 
ni ujinga kuwaambia wanainchi wapige mbizi wakati wewe ni kiongozi wao

Kama ilivo kuwafananisha wananchi na mbuzi kwa kuwaambia kama vp watakula nyasi ilimradi pesa iwe saved kununua mwewe wa prezdaa
 
Ni ujinga kuchokonoa masaburi na kunusa kidole after that
 
Ujinga ni kufikiri eti kabila lenye wa2 bahili ni wachaga 2
ujinga ni-tabia ya m2 m1 inakufanya uamini kuwa ni tabia ya kabila lao,mfano,unamuona binti anagawa p..sy sana na kwa vile ni mpare,basi wewe ulivyo mjinga unajua kuwa mabinti wa kipare wote ndivyo walivyo, MPOMPOPO mkubwa we.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…