Ameshatangaza kuwa 2015 hagombei ubunge so anapumzika!Achana na bi mkubwa kabisa. Kaisha dondosha viroba kadhaa vya chumvi.
Mzee Ruksa ndio "turning point" ya kuwa na baraza la mawaziri vilaza nchini!Mkuu hiyo ndio ilikuwa The Dream Team ya mwisho ya Baba wa Taifa. Baada ya hapo Mzee Ruksa akachukua madaraka.
Ameshatangaza kuwa 2015 hagombei ubunge so anapumzika!
Kwa upande mwingine nitamlaumu Baba wa Taifa kwakutowatendea haki sawa kwa upande wa wanawake! Yaani baraza lote hilo wanawake walikua ni wawili tu? R.I.P Baba wa Taifa.