Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Jeshi la polis wakishirikiana na askari wasaidizi wa chuo kikuuu cha dar es salaam wameendelea na operesheni kamatakamata na hivi leo majira ya saa 4 asubuhi kiijana mmoja anaywjulikana kwa jina la fred chacha hatari alitiwa nguvuni na jeshi baada ya kufika katika ofisi ya mshauri wa wanafunzi kuchukua inayodaiwa kuwa barua kutoka kwa mamlaka za juu za chuo.
Amepelekwa katika kituo kisichofahamika mpaka sasa
Amepelekwa katika kituo kisichofahamika mpaka sasa