Ebu mfuate Bashite wako huko
In God we trust
Akikagua miradi ya ujenzi wa mabwawa ya maji mkoani Tanga kiongozi wa mkoa huo ameshindwa kutafsiri kirefu cha CRB na kuiita ni ....construction registration board... [emoji16][emoji16][emoji16] badala ya contractor registration board..mwendo kasiii
In God we trust
Hatufi lkn cha moto tunakiona
In God we trust
Daaaaaa hii ni balaa lkn lawama zote zimwendee mswhiliNaam Mkuu kwenye nchi yoyote ile iliyo huru ambapo katiba na sheria za nchi zikiamuliwa kudharauliwa ndiyo matokeo hayo ya cha moto kukiona. Sikutegemea hata siku moja kuiona Tanzania yetu inafikia hapa tulipo leo hii. Na huu ni mwanzo tu siku za usoni hali itazidi kuwa mbaya sana kwa watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Ben Saanane huyo mwezi wa tisa sasa haijulikani kama bado yuko hai au alishauawa.
Anayechekwa na anayemcheka wote "genus" ileile tofauti yao ni "species" tu. Eti......ashindwa kutafsiri...." Kwan CRB tafsiri yake ni Contractor registration board??? Kweli?. Unajua maana ya "TAFSIRI/transalate" na neno "kirefu cha/long term).Akikagua miradi ya ujenzi wa mabwawa ya maji mkoani Tanga kiongozi wa mkoa huo ameshindwa kutafsiri kirefu cha CRB na kuiita ni ....construction registration board... [emoji16][emoji16][emoji16] badala ya contractor registration board..mwendo kasiii
In God we trust
Mkuu fanya jaribio hili "siku moja katiza ukiwa utupu shuleni (chekechea au primary) kwa bahati mbaya halafu tuone wanafunzi watafanya nini!!?Ndo mada gani unazileta hapa? We hujawahi kukosea? Nyie ndo mnaoamini mtanzania akikosea kiswahili ni kawaida ila akikosea kiingereza hana akili. Acha utumwa wa mawazo.
Hata na wewe umekosea. Inaitwa Constructors Registration Board. Hivyo na wewe hujui natumizi ya ones (singular) and many (plural). Slip of tongue inamkumba kila MTU nikiwemo Mimi nwenye degree tatu.Akikagua miradi ya ujenzi wa mabwawa ya maji mkoani Tanga kiongozi wa mkoa huo ameshindwa kutafsiri kirefu cha CRB na kuiita ni ....construction registration board... [emoji16][emoji16][emoji16] badala ya contractor registration board..mwendo kasiii
In God we trust
Ni kweli mkuu. Tena alikuwa ni rafiki mkubwa wa Wilman Kapenjama ambaye nae aliwahi kuwa mkuu wa wilaya katika moja ya mikoa ya kusini. Siku hizi sijui yuko wapi.Atakuwa ameghafilika tu. Shigela ni msomi mzuri tu. Tumesoma naye political science pale Mlimani.
Wilman kapenjama alikuwa DC Mtwara enzi za JK sijui katupwa wapi school mate wangu,chief wetu Rungwe sec miaka hiyoNi kweli mkuu. Tena alikuwa ni rafiki mkubwa wa Wilman Kapenjama ambaye nae aliwahi kuwa mkuu wa wilaya katika moja ya mikoa ya kusini. Siku hizi sijui yuko wapi.
Hii inafurahisha. Mleta mada yeye kamkosoa RC kwa kuandika kwamba kirefu cha CRB ni "contractor registration board". Wewe umekosoa na kudai ni "Constructors Registration Board". Lakini wapo walio na hakika kwamba hiyo CRB kwa mahali ilipotajwa ni kifupi cha " Contractors Registration Board".Hata na wewe umekosea. Inaitwa Constructors Registration Board. Hivyo na wewe hujui natumizi ya ones (singular) and many (plural). Slip of tongue inamkumba kila MTU nikiwemo Mimi nwenye degree tatu.