ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,351
- 4,616
But he should be careful not to outshine the masterJafo is rising kidogokidogo
But he should be careful not to outshine the masterJafo is rising kidogokidogo
usilembe we kwanyua tuKwa ilivyo sasa hivi ukikuta mada ya kukosoa wewe tena shombo tu wala huhitaji kujua nini kimetokea. Mambo yanaendelea yanajulikana
Mkuu mimi nampa tahadhari tu mdogo wangu Hapi, siasa za Iringa especially hapo mjini siyo rahisi kama anavyofikiria hii mingine ni mitego tu. Si umeona Jaffo alivyoingilia kati kuokoa Jahazi. Sera ya bure popote pale ni kwa watu wasio na uwezo siyo kwa watu wote. Hospitali ya Iringa mjini ni miongoni mwa hospitali chache hapa nchini zilizokuwa na Huduma ya Grade One tokea enzi ya Nyerere sasa yeye Salum anakurupuka nini leo. Hao Iringa mwaka 1995 walimchagua mbunge wa Upinzani mwalimu Kibassa na Nyerere alitoa baraka zake asiwachukulie poa!Aisee, hata wewe?
Utaratibu wa hospitali za rufaa ni kutibu wagonjwa wenye rufaa. Ikitokea amekuja mgonjwa hana rufaa unafanyaje???Kwa lililotokea kwenye hiyo video,mimi nipo upande mmoja na Hapi...hata kama ni daktari bingwa haiwezekani awaumize ndugu zetu wakati serikali ilishatangaza matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5,wazee kuanzia miaka 60 na akina mama wajawazito afu mtu aje Awalaipishe hela,tena bila mganga mkuu wa hospital kushirikishwa,katibu mkuu wa wizara including waziri na boby ya hospital halafu mseme jamaa kakurupuka,hapana aisee,pia hajamfukuza kazi ili kamkataa ndani ya mkoa wake kutokana na utendaji wake mbovu,hata kama Hapi ana mapungufu mengine lakini sio kwenye hili aisee,tu`reason vitu bila chuki wakuu!
Unapambana kweli kumteteaMkuu mimi nampa tahadhari tu mdogo wangu Hapi, siasa za Iringa especially hapo mjini siyo rahisi kama anavyofikiria hii mingine ni mitego tu. Si umeona Jaffo alivyoingilia kati kuokoa Jahazi. Sera ya bure popote pale ni kwa watu wasio na uwezo siyo kwa watu wote. Hospitali ya Iringa mjini ni miongoni mwa hospitali chache hapa nchini zilizokuwa na Huduma ya Grade One tokea enzi ya Nyerere sasa yeye Salum anakurupuka nini leo. Hao Iringa mwaka 1995 walimchagua mbunge wa Upinzani mwalimu Kibassa na Nyerere alitoa baraka zake asiwachukulie poa!
Daktari analipisha wagonjwa kwani yeye ni mwasibu??nchi hii kwa drama??
Kwenye hiyo video imeulizwa kuhusu sera ya nchi inasemaje kuhusu matibabu ya wazee na watoto, labda utusaidie kama watoto ni lazima walipe pia mseme ili wananchi na watendaji wajue.Watoto wachanga na wazee wenye hela wasiotaka usumbufu hata Muhimbili wanalipia huo utaratibu ni wa kawaida sana. Ingekuwa analipishwa mtoto aliyepewa rufaa kutoka Flerimo kwenda regional hospital hapo ndio ningekubaliana na Hapi. Nilichokiona hapo ni siasa za kuviziana na hii inaweza kumjenga Msigwa badala ya kumbomoa. Nimpongeze Waziri Jaffo katika hili!
kuna kipindi ute wa kijani ukiondoka kichwani unatema madini eeMkuu mimi nampa tahadhari tu mdogo wangu Hapi, siasa za Iringa especially hapo mjini siyo rahisi kama anavyofikiria hii mingine ni mitego tu. Si umeona Jaffo alivyoingilia kati kuokoa Jahazi. Sera ya bure popote pale ni kwa watu wasio na uwezo siyo kwa watu wote. Hospitali ya Iringa mjini ni miongoni mwa hospitali chache hapa nchini zilizokuwa na Huduma ya Grade One tokea enzi ya Nyerere sasa yeye Salum anakurupuka nini leo. Hao Iringa mwaka 1995 walimchagua mbunge wa Upinzani mwalimu Kibassa na Nyerere alitoa baraka zake asiwachukulie poa!
Ukiangalia hiyo video hapo juu utagundua kuwa HAPI hana kosa loloteHuyu Happy ajiangalie sana kama anabisha ajikumbushe tukio la 25.12.1971 pale ndugu Kreluu alivyopigwa shabaha na Mwamwindi
Kwa lililotokea kwenye hiyo video,mimi nipo upande mmoja na Hapi...hata kama ni daktari bingwa haiwezekani awaumize ndugu zetu wakati serikali ilishatangaza matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5,wazee kuanzia miaka 60 na akina mama wajawazito afu mtu aje Awalaipishe hela,tena bila mganga mkuu wa hospital kushirikishwa,katibu mkuu wa wizara including waziri na boby ya hospital halafu mseme jamaa kakurupuka,hapana aisee,pia hajamfukuza kazi ili kamkataa ndani ya mkoa wake kutokana na utendaji wake mbovu,hata kama Hapi ana mapungufu mengine lakini sio kwenye hili aisee,tu`reason vitu bila chuki wakuu![/QUOTtE]
Sera pia inataka watu waanzie katika zahanati na vituo vya afya ili kuzuia mrundikano wa wagonjwa katika hospitali za mkoa na wilaya na hivyo kuboresha huduma za afya
Swadakta.Hata ukienda Muhimbili bila rufaa unatibiwa kama mgonjwa wa Cash.Sijui madaktari walishindwa vp kujieleza vzuri?Utaratibu wa hospitali za rufaa ni kutibu wagonjwa wenye rufaa. Ikitokea amekuja mgonjwa hana rufaa unafanyaje???
Huwa nawachukia sana wateule wa rais kwa unyanyasaji wao wa wananchi lkn niseme ukweli kwa hili,nimempenda sana RC Happy na namuunga mkono.Habari JF,
Kwa anayejua Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ndugu Ally Hapi kamfanya nini Daktari Bingwa atusaidie.
View attachment 912523
Huyu Happy ajiangalie sana kama anabisha ajikumbushe tukio la 25.12.1971 pale ndugu Kreluu alivyopigwa shabaha na Mwamwindi
Kwa lililotokea kwenye hiyo video,mimi nipo upande mmoja na Hapi...hata kama ni daktari bingwa haiwezekani awaumize ndugu zetu wakati serikali ilishatangaza matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5,wazee kuanzia miaka 60 na akina mama wajawazito afu mtu aje Awalaipishe hela,tena bila mganga mkuu wa hospital kushirikishwa,katibu mkuu wa wizara including waziri na boby ya hospital halafu mseme jamaa kakurupuka,hapana aisee,pia hajamfukuza kazi ili kamkataa ndani ya mkoa wake kutokana na utendaji wake mbovu,hata kama Hapi ana mapungufu mengine lakini sio kwenye hili aisee,tu`reason vitu bila chuki wakuu!
Kosa la Hapi ni kumuaibisha daktari hadharani. Kimaadili angeitisha mkutano na viongozi wa afya mkoa. Pale angewaahidi tu wanchi kulishughulikia swala hilo.Kwa lililotokea kwenye hiyo video,mimi nipo upande mmoja na Hapi...hata kama ni daktari bingwa haiwezekani awaumize ndugu zetu wakati serikali ilishatangaza matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5,wazee kuanzia miaka 60 na akina mama wajawazito afu mtu aje Awalaipishe hela,tena bila mganga mkuu wa hospital kushirikishwa,katibu mkuu wa wizara including waziri na boby ya hospital halafu mseme jamaa kakurupuka,hapana aisee,pia hajamfukuza kazi ili kamkataa ndani ya mkoa wake kutokana na utendaji wake mbovu,hata kama Hapi ana mapungufu mengine lakini sio kwenye hili aisee,tu`reason vitu bila chuki wakuu!