RC wa Iringa kafanya madudu gani?

RC wa Iringa kafanya madudu gani?

Mstaarabu akivuliwa nguo huchutama, yaan mtu kutafuta kiki aje kunidhalilisha mbele ya kadamnasi mbona sijaona hosptal hata moja ya rufaa ambayo wanatibu bure mbona alivyokuwa dar hakuwahi kwenda MNH kuwakoromea madaktari au anaangalia sehem na sehem au MNH pale angeweza kupigwa hata viboko yaan mtu amesona 10 yrs we unakuja kumropokea kisa umeteuliwa ulikua pale jengo la vijana unakitetea chama
 
Kwa lililotokea kwenye hiyo video,mimi nipo upande mmoja na Hapi...hata kama ni daktari bingwa haiwezekani awaumize ndugu zetu wakati serikali ilishatangaza matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5,wazee kuanzia miaka 60 na akina mama wajawazito afu mtu aje Awalaipishe hela,tena bila mganga mkuu wa hospital kushirikishwa,katibu mkuu wa wizara including waziri na boby ya hospital halafu mseme jamaa kakurupuka,hapana aisee,pia hajamfukuza kazi ili kamkataa ndani ya mkoa wake kutokana na utendaji wake mbovu,hata kama Hapi ana mapungufu mengine lakini sio kwenye hili aisee,tu`reason vitu bila chuki wakuu!
Ndio uzuri wa JamiiForums, kwamba siyo lazima tukubaliane kwa kila hoja ya mtu, kulazimishana kuwa huyu ni sawa au kakosea, umejibu bila matusi, kejeli au kushutumu..kudos
 
Kesho unatenguliwa anawekwa mwingine huna kazi mzee wako anaumwa au mtoto unaenda unakuta utaratibu ni uleule wale waliokua wanakushangilia hawapotena nawe anaekusaidia ni yule uliemdhalilisha mbele ya watu hivyo vyeo vya kuteuliwa visikufanye ukawa unajiona ndio maisha yote yatakua hivyo akifanya rais sawa yeye atalindwa hadi kufa ila wengine tuwe wa pole coz tutarejea mitaan kwani yuko wapi Nape aliekua analindwa na kuheshimika siku ile ile anatenguliwa ndio hiyohiyo anadhalilishwa
 
Huo ni utaratibu wa hospital za rufaa.
Ukiwa na rufaa bure usipokua nayo unalipia . Hauwezi nenda hospital za wilayani bure
Muhimbil tu wanacharge nadhan elf 30.
Unajua watu wengine wanalaumu madaktari badala ya kuibana serikali yao maana wao ndio wanaopanga utaratibu madaktari wao kutekeleza tu...mfano huyo hapi alienda hospital kuu ya iringa akauliza mbona dawa hamna akaambiwa serikali haijaleta hela cha ajabu akadakia jambo lingine lile hakutolea ufafanuzi na bado wanaleta siasa kwenye taaluma za watu....hatukatai madaktari na wauguzi kuna wakati wanaboa lakini kuna sheria na miiko ya kuwawajibisha sio chuki na jazba
 
Duh nilipita eneo ambalo hayati mkuu wa mkoa aliingia choo cha kike na kula Shaba za kutosha hii Dodoma road. Shukrani kwa kunikimbusha tarehe!!
Ilikuaje hebu tupeni habari zake
 
Eti Rc anasema nilikuwa nakutafutia target tu sasa umejiingiza kwenye 18 mwenyewe, aisee hawa viongozi hawa
 
Swadakta.Hata ukienda Muhimbili bila rufaa unatibiwa kama mgonjwa wa Cash.Sijui madaktari walishindwa vp kujieleza vzuri?
Walijieleza ila hakutaka kuelewa. Na mzee alipoteza control, kuhojiwa mbele ya kanamnasi inayozomea n ngumu mno

RC Alichotaka ni uholela tu kwamba sababu matibabu kwa hayo makundi maalumu ni bure basi hata kama hawana rufaa waende tu. ndio maana aliuliza kama kuna mtu ameumwa jiran na hospital ya rufaa asiende pale atafute zahanati?
 
Back
Top Bottom