Kwa lililotokea kwenye hiyo video,mimi nipo upande mmoja na Hapi...hata kama ni daktari bingwa haiwezekani awaumize ndugu zetu wakati serikali ilishatangaza matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5,wazee kuanzia miaka 60 na akina mama wajawazito afu mtu aje Awalaipishe hela,tena bila mganga mkuu wa hospital kushirikishwa,katibu mkuu wa wizara including waziri na boby ya hospital halafu mseme jamaa kakurupuka,hapana aisee,pia hajamfukuza kazi ili kamkataa ndani ya mkoa wake kutokana na utendaji wake mbovu,hata kama Hapi ana mapungufu mengine lakini sio kwenye hili aisee,tu`reason vitu bila chuki wakuu!
Watoto wachanga na wazee wenye hela wasiotaka usumbufu hata Muhimbili wanalipia huo utaratibu ni wa kawaida sana. Ingekuwa analipishwa mtoto aliyepewa rufaa kutoka Flerimo kwenda regional hospital hapo ndio ningekubaliana na Hapi. Nilichokiona hapo ni siasa za kuviziana na hii inaweza kumjenga Msigwa badala ya kumbomoa. Nimpongeze Waziri Jaffo katika hili!Kwa lililotokea kwenye hiyo video,mimi nipo upande mmoja na Hapi...hata kama ni daktari bingwa haiwezekani awaumize ndugu zetu wakati serikali ilishatangaza matibabu bure kwa watoto chini ya miaka 5,wazee kuanzia miaka 60 na akina mama wajawazito afu mtu aje Awalaipishe hela,tena bila mganga mkuu wa hospital kushirikishwa,katibu mkuu wa wizara including waziri na boby ya hospital halafu mseme jamaa kakurupuka,hapana aisee,pia hajamfukuza kazi ili kamkataa ndani ya mkoa wake kutokana na utendaji wake mbovu,hata kama Hapi ana mapungufu mengine lakini sio kwenye hili aisee,tu`reason vitu bila chuki wakuu!
Kosa la huyu kijana ni kulichukulia kibinafsi chuki" kuwa nilikuwa nakutafuta umeingia kwenye 18", sasa wewe ulikuwa unashaka naye na ulimwita kwanini usiweke mambo sawa huko kwamba hapa umekosea ukija kwenye mkutano kama huu unasema mlichokubaliana ili kumlindia heshima kama Dr bingwa maana pamoja na mapungufu utakuta huyu kaokoa watu wengi tu. Hata ukiwa na cheo basi usimtukane mtu mkubwa sio tamaduni zetu.Haya mambo mengine yanahitaji ufafanuzi wa kina na sio kukurupuka kama alivofanya mheshimiwa
Waziri Jaffo ni kijana ana busara sana nampa heshima kubwa tu.Watoto wachanga na wazee wenye hela wasiotaka usumbufu hata Muhimbili wanalipia huo utaratibu ni wa kawaida sana. Ingekuwa analipishwa mtoto aliyepewa rufaa kutoka Flerimo kwenda regional hospital hapo ndio ningekubaliana na Hapi. Nilichokiona hapo ni siasa za kuviziana na hii inaweza kumjenga Msigwa badala ya kumbomoa. Nimpongeze Waziri Jaffo katika hili!
Haya mambo mengine yanahitaji ufafanuzi wa kina na sio kukurupuka kama alivofanya mheshimiwa
Aisee, hata wewe?Watoto wachanga na wazee wenye hela wasiotaka usumbufu hata Muhimbili wanalipia huo utaratibu ni wa kawaida sana. Ingekuwa analipishwa mtoto aliyepewa rufaa kutoka Flerimo kwenda regional hospital hapo ndio ningekubaliana na Hapi. Nilichokiona hapo ni siasa za kuviziana na hii inaweza kumjenga Msigwa badala ya kumbomoa. Nimpongeze Waziri Jaffo katika hili!