RC SHINYANGA: Tunamshukuru Rais Samia ametujengea chuo kikubwa cha VETA Bugarama kwa shilingi bilioni 3.5 kwa sasa hatuna deni nae

RC SHINYANGA: Tunamshukuru Rais Samia ametujengea chuo kikubwa cha VETA Bugarama kwa shilingi bilioni 3.5 kwa sasa hatuna deni nae

Mwanahabari Huria

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2025
Posts
297
Reaction score
172
IMG-20250803-WA0018.jpg

|||Chini ya uongozi wa Rais Samia Kuanzia mwaka 2021 hadi 2025, Mkoa umepokea Shilingi bilioni 155.24 kwa ajili ya kuboresha Elimu kwa kujenga na kukarabati Shule, kuongeza walimu na kuimarisha miundombinu ya Shule za msingi, Sekondari na vyuo vya kati. Mabadiliko haya yamesaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga Shule, kuinua ufaulu na kupunguza umbali wanaotembea kufuata Elimu.

Kwa kipindi hicho, Shule za msingi zimeongezeka kutoka 682 hadi 711, na Sekondari kutoka 186 hadi 200, huku vyuo vya kati vikiongezeka kutoka chuo kimoja hadi vitatu.Pia, kumekuwa na ongezeko la vyumba vya madarasa, madawati, meza na viti kwa Shule zote, pamoja na ujenzi wa nyumba za walimu, mabweni, maabara na maktaba. Kwa mfano, madarasa ya Shule za msingi yameongezeka kwa 946 na ya Sekondari kwa 1,282. Madawati yameongezeka kwa 35,919, na walimu wapya 1,215 wameajiriwa.

Rais Samia Kwa kutumia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), madarasa 101 yamejengwa, meza na viti 4,813 vimetengenezwa, na chuo cha VETA Bugarama kimejengwa kusaidia mafunzo ya ufundi kwa vijana|||.
 
View attachment 3429438
|||Chini ya uongozi wa Rais Samia Kuanzia mwaka 2021 hadi 2025, Mkoa umepokea Shilingi bilioni 155.24 kwa ajili ya kuboresha Elimu kwa kujenga na kukarabati Shule, kuongeza walimu na kuimarisha miundombinu ya Shule za msingi, Sekondari na vyuo vya kati. Mabadiliko haya yamesaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga Shule, kuinua ufaulu na kupunguza umbali wanaotembea kufuata Elimu.

Kwa kipindi hicho, Shule za msingi zimeongezeka kutoka 682 hadi 711, na Sekondari kutoka 186 hadi 200, huku vyuo vya kati vikiongezeka kutoka chuo kimoja hadi vitatu.Pia, kumekuwa na ongezeko la vyumba vya madarasa, madawati, meza na viti kwa Shule zote, pamoja na ujenzi wa nyumba za walimu, mabweni, maabara na maktaba. Kwa mfano, madarasa ya Shule za msingi yameongezeka kwa 946 na ya Sekondari kwa 1,282. Madawati yameongezeka kwa 35,919, na walimu wapya 1,215 wameajiriwa.

Rais Samia Kwa kutumia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), madarasa 101 yamejengwa, meza na viti 4,813 vimetengenezwa, na chuo cha VETA Bugarama kimejengwa kusaidia mafunzo ya ufundi kwa vijana|||.
Hongera sana Mama SAMIA
 
View attachment 3429438
|||Chini ya uongozi wa Rais Samia Kuanzia mwaka 2021 hadi 2025, Mkoa umepokea Shilingi bilioni 155.24 kwa ajili ya kuboresha Elimu kwa kujenga na kukarabati Shule, kuongeza walimu na kuimarisha miundombinu ya Shule za msingi, Sekondari na vyuo vya kati. Mabadiliko haya yamesaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga Shule, kuinua ufaulu na kupunguza umbali wanaotembea kufuata Elimu.

Kwa kipindi hicho, Shule za msingi zimeongezeka kutoka 682 hadi 711, na Sekondari kutoka 186 hadi 200, huku vyuo vya kati vikiongezeka kutoka chuo kimoja hadi vitatu.Pia, kumekuwa na ongezeko la vyumba vya madarasa, madawati, meza na viti kwa Shule zote, pamoja na ujenzi wa nyumba za walimu, mabweni, maabara na maktaba. Kwa mfano, madarasa ya Shule za msingi yameongezeka kwa 946 na ya Sekondari kwa 1,282. Madawati yameongezeka kwa 35,919, na walimu wapya 1,215 wameajiriwa.

Rais Samia Kwa kutumia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), madarasa 101 yamejengwa, meza na viti 4,813 vimetengenezwa, na chuo cha VETA Bugarama kimejengwa kusaidia mafunzo ya ufundi kwa vijana|||.
umeupiga mwingi sana tu
 
View attachment 3429438
|||Chini ya uongozi wa Rais Samia Kuanzia mwaka 2021 hadi 2025, Mkoa umepokea Shilingi bilioni 155.24 kwa ajili ya kuboresha Elimu kwa kujenga na kukarabati Shule, kuongeza walimu na kuimarisha miundombinu ya Shule za msingi, Sekondari na vyuo vya kati. Mabadiliko haya yamesaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga Shule, kuinua ufaulu na kupunguza umbali wanaotembea kufuata Elimu.

Kwa kipindi hicho, Shule za msingi zimeongezeka kutoka 682 hadi 711, na Sekondari kutoka 186 hadi 200, huku vyuo vya kati vikiongezeka kutoka chuo kimoja hadi vitatu.Pia, kumekuwa na ongezeko la vyumba vya madarasa, madawati, meza na viti kwa Shule zote, pamoja na ujenzi wa nyumba za walimu, mabweni, maabara na maktaba. Kwa mfano, madarasa ya Shule za msingi yameongezeka kwa 946 na ya Sekondari kwa 1,282. Madawati yameongezeka kwa 35,919, na walimu wapya 1,215 wameajiriwa.

Rais Samia Kwa kutumia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), madarasa 101 yamejengwa, meza na viti 4,813 vimetengenezwa, na chuo cha VETA Bugarama kimejengwa kusaidia mafunzo ya ufundi kwa vijana|||.
Hizi ndizo sababu 5 kwanini tumchague Rais Samia:


  1. Kiongozi mwenye dira na hekima – Ameonyesha uongozi wa utulivu, busara na maamuzi yenye kulinda maslahi ya Watanzania.
  2. Mageuzi ya kiuchumi – Amefungua Tanzania kimataifa, kuongeza uwekezaji na kusimamia miradi mikubwa ya kimkakati inayoongeza ajira na mapato ya taifa.
  3. Kuboresha huduma za jamii – Amewekeza kwenye elimu bila ada, afya bora, maji safi na nishati vijijini ili kuinua maisha ya wananchi.
  4. Kuimarisha mshikamano wa kitaifa – Ni kiongozi anayeunganisha Watanzania, kusikiliza sauti za wananchi na kushirikisha makundi yote katika maamuzi ya kitaifa.
  5. Ushirikiano wa kimataifa – Ameimarisha diplomasia ya uchumi na heshima ya Tanzania duniani, kuifanya nchi yetu kuwa kitovu cha fursa na maendeleo.
 
bilioni 3.5 za Samia amezitolea wapi!? Je ni mfuko binafsi ama mfuko wa serikali? Pesa za wananchi zimeshakuwa pesa za Samia!? Kwa msingi gani? Kama ndio Samia ametoa pesa, ina maana gani? Bilioni 3.5 zimekwenda kufanya maendeleo kwa ajili ya Samia ama nchi?
 
1. Technically speaking – The president does not generate personal money for public projects. The funds used to build infrastructure, schools, hospitals, etc., come from public resources (taxes, loans, grants, and national revenues).

2. Correct wording – It is more accurate to say the president has:

Authorized money (approved its use)
Directed money (instructed allocation)
Announced money (made public a government budget decision) rather than “given money”.

3. Why “given” sounds misleading – Saying “the president has given money” can make it sound as though it is the president’s personal donation, which is usually not the case (unless it really is from his/her private funds).

4. Common usage – In political speech and journalism, people often say “the president has given money for…” as shorthand. But in official or precise communication, “the president has authorized/allocated government funds” is more correct.

👉 So yes, there is a difference: to give suggests personal funds, while to authorize reflects the real process — approval of public funds from the treasury.

KWA MTU AMBAYE NI TIMAMU LAZIMA AJIULIZE JE ANACHOKIFANYA SAMIA NI HISANI KWA WATANZANIA AMA? HIZO PESA AMEZITOLEA WAPI? ACHENI KUPOTOSHA UMMA, SAMIA HANA HATA KIWANDA CHA PINI CHA KUZALISHA HIZO PESA.
 
View attachment 3429438
|||Chini ya uongozi wa Rais Samia Kuanzia mwaka 2021 hadi 2025, Mkoa umepokea Shilingi bilioni 155.24 kwa ajili ya kuboresha Elimu kwa kujenga na kukarabati Shule, kuongeza walimu na kuimarisha miundombinu ya Shule za msingi, Sekondari na vyuo vya kati. Mabadiliko haya yamesaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga Shule, kuinua ufaulu na kupunguza umbali wanaotembea kufuata Elimu.

Kwa kipindi hicho, Shule za msingi zimeongezeka kutoka 682 hadi 711, na Sekondari kutoka 186 hadi 200, huku vyuo vya kati vikiongezeka kutoka chuo kimoja hadi vitatu.Pia, kumekuwa na ongezeko la vyumba vya madarasa, madawati, meza na viti kwa Shule zote, pamoja na ujenzi wa nyumba za walimu, mabweni, maabara na maktaba. Kwa mfano, madarasa ya Shule za msingi yameongezeka kwa 946 na ya Sekondari kwa 1,282. Madawati yameongezeka kwa 35,919, na walimu wapya 1,215 wameajiriwa.

Rais Samia Kwa kutumia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), madarasa 101 yamejengwa, meza na viti 4,813 vimetengenezwa, na chuo cha VETA Bugarama kimejengwa kusaidia mafunzo ya ufundi kwa vijana|||.
Hapa kuna mambo matano mazuri ya Rais Samia Suluhu Hassan, yaliyoonekana wazi katika uongozi wake:


  1. Kuimarisha uchumi wa taifa – Rais Samia amesisitiza uwekezaji, maendeleo ya miundombinu, na uwekaji wa sera zinazosaidia biashara ndogo na kubwa, jambo lililoongeza ajira na pato la Taifa.
  2. Kuboresha huduma za afya – Chini ya uongozi wake, upatikanaji wa huduma za afya umeimarishwa, ikiwa ni pamoja na chanjo kwa watoto na upanuzi wa vituo vya afya vijijini.
  3. Elimu bila vikwazo – Rais Samia amesisitiza elimu bila ada kwa shule za msingi na sekondari, kuhakikisha watoto wote wanapata fursa ya elimu bora bila vikwazo vya kifedha.
  4. Miundombinu makini – Amelenga katika ujenzi wa barabara, reli ya SGR, na bandari mpya kama Bandari ya Bagamoyo, ili kurahisisha usafirishaji na biashara ndani na nje ya nchi.
  5. Kutoa fursa kwa vijana na wanawake – Amekuwa mstari wa mbele katika kuunda ajira, kukuza uwekezaji, na kuhamasisha ushiriki wa wanawake na vijana katika biashara na sekta za kimaendeleo.
 
View attachment 3429438
|||Chini ya uongozi wa Rais Samia Kuanzia mwaka 2021 hadi 2025, Mkoa umepokea Shilingi bilioni 155.24 kwa ajili ya kuboresha Elimu kwa kujenga na kukarabati Shule, kuongeza walimu na kuimarisha miundombinu ya Shule za msingi, Sekondari na vyuo vya kati. Mabadiliko haya yamesaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaojiunga Shule, kuinua ufaulu na kupunguza umbali wanaotembea kufuata Elimu.

Kwa kipindi hicho, Shule za msingi zimeongezeka kutoka 682 hadi 711, na Sekondari kutoka 186 hadi 200, huku vyuo vya kati vikiongezeka kutoka chuo kimoja hadi vitatu.Pia, kumekuwa na ongezeko la vyumba vya madarasa, madawati, meza na viti kwa Shule zote, pamoja na ujenzi wa nyumba za walimu, mabweni, maabara na maktaba. Kwa mfano, madarasa ya Shule za msingi yameongezeka kwa 946 na ya Sekondari kwa 1,282. Madawati yameongezeka kwa 35,919, na walimu wapya 1,215 wameajiriwa.

Rais Samia Kwa kutumia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR), madarasa 101 yamejengwa, meza na viti 4,813 vimetengenezwa, na chuo cha VETA Bugarama kimejengwa kusaidia mafunzo ya ufundi kwa vijana|||.
Kwani, hiyo pesa aliitoa mfukoni mwake?
 
Kwani, hiyo pesa aliitoa mfukoni mwake?
Akikupa jibu njoo uniite 🐕 yaani pesa za Samia halafu kwenye kulipa madeni tunalipa watanzania! Kuna wakati utimamu wa akili ni changgamoto kwa wanaomsifia Samia
 
Mamaaa Mamaaa! hizo hela katoa kwenye mshahara wake?
Watu wengine sijui wakoje?
Wewe unategemea huyu ndiyo RC kuongoza watu zaidi ya 1M kwenye mkoa na akili hana, Shinyanga mjini palepale kuna nyumba za tembe, barabara mbovu, maji shida na ziwa lipo karibu hapo lakini anakwambia hana deni, hana deni yeye na mume wake kuwa wanakula na kusaza
 
Back
Top Bottom