Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Mungu anajua kwanini kampa uongozi huyo dogo ila siye watanzania hatuelewi kabisa kwakua ni mipango ya Mungu basi tunaomba atakalo lifanyike maana hatumuelewi
AMEN
AMIN
AMINA
Mungu anajua kwanini kampa uongozi huyo dogo ila siye watanzania hatuelewi kabisa kwakua ni mipango ya Mungu basi tunaomba atakalo lifanyike maana hatumuelewi
Eti mtu mropokaji hivi, ana dhamana kubwa kwa wananchi. Kwa jinsi alivyoongea kwa kejeli si kweli kuwa anamuombea huyo mtoto apone.Why this jmn? Kila kukicha kuna chuki inapandikizwa. Huwashangaa wapiga makofi.Juzi rais katangaza mamalaka za kutangaza wagonjwa na habari za Corona ni Waziri mkuu na waziri wa afya. Leo namwangalia Makonda anautangazia umma kuwa mtoto wa Mbowe ni mgonjwa wa corona. Sijui kama nae kapewa mamlaka hayo ama amekuwa waziri wa afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite ametumwa na watu wavijijini wasiokuwa na umeme wala maji. Hili aongee Mambo yakuponda watu.
Au katumwa na mamlaka za juu?Nani amempa ruhusa ya kutangaza magonjwa ya watu. Hana ethics za kazi, mambo mengine ukiyajua kupitia ofisi yako,unaomba ushauri kwa wataalam.
Paul Makonda kama mkuu wa mkoa,angetaka ushauri kwa RMO wake kabla ya kutaja magonjwa ya watu hadharani
eti kwa vile anajua kusoma inatosha!!!yaaani?Mkoa wa DSM kwa kweli umekosa hadhi kabisa.....
Jiji la watu makini...wasomi wabonezi, jiji ambalo ndiyo kiini cha Tanzania kuongozwa na la saba...hii katiba yetu ina mapungufu mengi mno.
Nafikiri tatizo lipo kwa wateuajiKwa hiyo yeye ndo mtangazaji wa waliougua Corona ?Huyu kwenye kichwa chake kuna fulushi la mavi.
Ni mtu ambaye alipokuwa kijana bwana Six alikuwa anafanya mazoezi ya Umombasa kwa kigezo cha kumlea
Mie nadhani kuna zaidi ya hilo. Kuna wazee wa bara kwa sasa wameupenda ghafla umombasa na wakionja inakuwa hatari kwa kunogewa.Majaliwa akimgusa Makonda atatimuliwa kama Mbwa koko siku hiyo hiyo , mguse mtafuta waganga na mpanga mauaji uone moto !
Kateua vijana ili awatawale. Wasiwe na say kwajeJe, ndiko tumefikia kwa wagonjwa wa Korona kutajwa kwa majina? Kwamba makonda ni mwenye dhamana yakutoa taarifa kuhusu wagonjwa?
Hakika nachelea kusema uteuzi was vijana wengi awamu hii umeonesha kiasi gani vijana hatuna uwezo wakuongoza kwa weledi, I hope next term turudishe wazee tu tujifunze toka kwao.
Kuna dhambi gani rais kupiga picha juu ya jiwe?. Kikwete alikwenda kubembea kule Jamaica licha ya nchi nzima kuwa gizani!.Akili hizi za kina Makonda ndio zitupeleke uchumi wa kati!!? Inasikitisha jana niliona post ya Haji S Manara akisifia Magufuli kupiga picha kwenye mawe akisema hiki ni chuma.
Hii nchi kuna sehemu imekwama.
Hakuna tatizo.. ila shida ni MATAGA kusifia kana kwamba ni jambo moja la kishujaa na la kimkakati kitaifa, kumbe just person.Kuna dhambi gani rais kupiga picha juu ya jiwe?. Kikwete alikwenda kubembea kule Jamaica licha ya nchi nzima kuwa gizani!.
Wanasiasa ni wanadamu kama mimi na wewe, uchumi wa kati unapatikana kwa kutumia maarifa yote uliyonayo na kutokuwa mvivu katika kufanya unalolifanya.