RC Mtwara: Hali ya Mtwara ni shwari kabisa!

RC Mtwara: Hali ya Mtwara ni shwari kabisa!

Hata kama Gas ni kwa manufaa ya Taifa zima, Ukiishi karibu na UWARIDI lazima unukie - John ( Jumanne ) S. Malecela

Mkuu hiyo haina shida hata kidogo. Hivi Mtwara hawana pa kunufaika kweli hili. Nimemsikia Waziri wa Nishati na Madini akisema viwanda vitajengwa huko na fursa lukuki.
 
Mkuu hiyo haina shida hata kidogo. Hivi Mtwara hawana pa kunufaika kweli hili. Nimemsikia Waziri wa Nishati na Madini akisema viwanda vitajengwa huko na fursa lukuki.

Wangeanza kwanza kujenga hivyo viwanda ndo wahamie kwenye mabomba! !
 
Mkuu hiyo haina shida hata kidogo. Hivi Mtwara hawana pa kunufaika kweli hili. Nimemsikia Waziri wa Nishati na Madini akisema viwanda vitajengwa huko na fursa lukuki.

Kimbunga hv ni kweli kwamba wanamtwara hawataki gesi itoke Mtwara? I'm afraid hujawasoma, nadhani issue yao ni kwamba hawataki gesi ghafi itoke Mtwara wanataka viwanda vya usafishaji vijengwe Mtwara then gesi safi iende huko mnakotanda iende. Unasema waziri muongo amesema viwanda vitajengwa Mtwara, wameshindwa kujenga Arusha, Shinyanga, Mwanza na kwingineko kulikokuwa na madini lukuki na sasa kumebaki mashimo matupu watawezaje kujenga Mtwara?
 
Wana JF,

Naomba kupewa haki ya kikatiba kwa kupewa habari za huyu Bwana ambae kwasasa ni mkuu wa mkoa wa Mtwara Joseph Simbakalia

Juu ya ;
Uwezo wake kiutendaji kwa wale waliowahi kufanya nae kazi

Imani yake kwa MUNGU na watu wake kwa wale waliowahi/ wanaeishi nae kwenye pwani ile ya Mtwara

Wakubwa wa Magogoni wanamuonaje kuwa ni mtetezi wao ama ni mtetezi wa Taifa zima ?

ANGALIZO;
Alishawahi kuwaita wana Mtwara Wahaini na Wahuni juu ya namna wanavyodai haki zao.

The Fixer,

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Huyu Mzee ni mtu mwadilifu. Sema ukishakuwa ndani ya choo kilichojaa kinyesi lazima utanuka tu. Ni sawa na kina Prof Tibaijuka,Mwakyembe na Wasafi wachache,unaweza kuona wapo kama maboya tu.
Kuhusu hapo nilipo-highlight,huyu ni Mkristo Mkatoliki safi. Ni miaka miwili ilopita alitunukiwa na TEC (Baraza la Maaskofu Tanzania) kama Mlei mwadilifu Tanzania katika majukumu yake.
 
Siamini kama suala ni kwa Col. Joseph Simbakalia kushindwa kutatua hili tatizo. Hili tatizo lina mambo mengi ndani yake. Kama kushindwa si kwa Simbakalia peke yake watakuwa wameshindwa wengi. Col. Simbakalia alienda Mtwara wakati mipango yote ya uchimbaji na usafirishaji gas imeishakuwa tayari. Hapa nadhani wanasiasa wetu wameshindwa kuwaandaa wana Mtwara kwa ajili ya Mradi huu na kuna majungu na uchochezi mwingi kuhusu mradi. Hivi ni kweli kabisa kwamba watu wa Mtwara hawataki gas itoke Mtwara? Mita zote hizo za ujazo watazifanyia nini? Wanatakiwa waelimishwe lakini kuna watu badala ya kuwaelimisha wanawachochea wafanye vurugu. Vurugu haina tija kwa Mtwara wala Tanzania. Haiwezekani kwamba gas iwe Mtwara tu wakati sehemu zingine za nchi zinaiihitaji. Barabara na Daraja la Mkapa ambalo ni kiuongo muhimu cha watu wa kusini na mikoa mingine havikujengwa kwa gas bali kwa rasilimali toka sehemu zingine za nchi.

Tanzania ni yetu sote na gas ni ya Tanzania.

mkuu uenena vyema sana.

Jana nilikuwa natafakari hivi kweli Mtwara ni nchi tofautiii ama ipo nchi hii hii ya tanzania??

wao wakisema wanataka gesi ibaki kwao je wataweza kuitumia wao kama wao?? mtwara kama sehem ya nchi hii wanaweza kukatalia rasilimali za taifa zisitumiwe na taifa zima?? hivi umeme unaowaka leo hii kule mtwara wana kidatu wangekataa usitoke wangepata umeme??

binafsi mimi nona kuna uchochezi wa kimaslah wa kundi fulan la watu ambalo liko ili kuzorotesha juhudi za wenzao lakini wakumbuke kwamba wanaoumia, barabara wanazo haribu, nyumba wanazo haribu zitawagharimu wao na taifa kwa ujumla. mbya zaid wajue kwamba gas kama gas ni non renewable hivyo siyo sustainable kiasi kwamba isipotumiwa kwa busara inaweza kabisa ikaisha kabla hata hawajamaliza kujenga barabara moja waliyoiharibu.
 
Hata kama Gas ni kwa manufaa ya Taifa zima, Ukiishi karibu na UWARIDI lazima unukie - John ( Jumanne ) S. Malecela

Ni mtu safi sana waulize kigoma wakusimulie amewahi kupewa nishani na papa ya utumishi bora uliotukuka ndani ya kanisa
 
Mkuu hiyo haina shida hata kidogo. Hivi Mtwara hawana pa kunufaika kweli hili. Nimemsikia Waziri wa Nishati na Madini akisema viwanda vitajengwa huko na fursa lukuki.
Kimbunga kwani hao wanamtwara wanafikiri wakifanya fuja na kuharibu miundo mbinu gesi itawasaidia?? nafikiri wameshindwa kuforeseen mambo ya mbele, kila mali waliyoharibu it will cost them na mwisho wa siku hiyo gasi itatumika kutengeneza upya hiyo miundo mbinu. tena kama hawako makini na hivi ni non renewable itaisha kabla hata haijamaliza kurudisha hiyo miundo mbinu.
 
Last edited by a moderator:
Kimbunga hv ni kweli kwamba wanamtwara hawataki gesi itoke Mtwara? I'm afraid hujawasoma, nadhani issue yao ni kwamba hawataki gesi ghafi itoke Mtwara wanataka viwanda vya usafishaji vijengwe Mtwara then gesi safi iende huko mnakotanda iende. Unasema waziri muongo amesema viwanda vitajengwa Mtwara, wameshindwa kujenga Arusha, Shinyanga, Mwanza na kwingineko kulikokuwa na madini lukuki na sasa kumebaki mashimo matupu watawezaje kujenga Mtwara?


hapa ndipo ninapomkubuka Dr Njau enzi hizo akiwa CPE akatufundisha EIA.
jamani labda tujiulize huu mradi ulifanyiwa EIA?? je waliofanya stake holders analysis walifanya kimakini?? manake nilitegemea jambo kama hili liwe lilishajulikana kabla mradi haujawa implemented na hapo lazima wangekuwa na project alternative.

natamani sana Dr Njau kama upo kwenye jamii forum utuambie jambo hapa kama ni kweli mraadi mkubwa kama huu uliwashirikisha stake holders wote. no wonder waliuliza mashirika ya tanesco na songas basi wakawaacha wananchi pasi kujua wanataka mradi uweje na sasa hii ndio pay back time.
 
Waongo utawajua jinsi wanavyojicanganya. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mtwara, Edward Gontako amethibitisha kutokea ajali iliyoua askari wanne wa JWTZ, 41KJ Nachingwea na askari wengine 20 kujeruhiwa wakati wakielekea Mtwara ili kusaidia kutuliza vurugu hizo.

Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Ligula, Dk Mohamed Kodi amethibitisha kupokea maiti moja na kuomba apewe muda kutaja idadi ya majeruhi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Linus Sinzumwa anadai hakuna mtu aliyefariki dunia wala majeruhi.

Nae Mkuu wa Mkoa Bw.Joseph Simbakalia anadaiwa kusema siku nzima ya jana Mtwara hali ilikuwa
shwari kabisa.

Hawa wote wako Mtwara na wanatakiwa wafanye kazi ka timu moja.

Full kujichanganya.

Si wote wapo Mtwara, bila shaka wengine wamezungumza kutokea China.
 
Ni kamanda na ni Mjeshi aliyeiva..hababaishi kama nyie mnaofurahia maafa ya wtz wenzenu..
 
Mkuu hiyo haina shida hata kidogo. Hivi Mtwara hawana pa kunufaika kweli hili. Nimemsikia Waziri wa Nishati na Madini akisema viwanda vitajengwa huko na fursa lukuki.

Nyimbo hizi huimbwa kila siku kwa viitikio tofauti
 
Kimbunga kwani hao wanamtwara wanafikiri wakifanya fuja na kuharibu miundo mbinu gesi itawasaidia?? nafikiri wameshindwa kuforeseen mambo ya mbele, kila mali waliyoharibu it will cost them na mwisho wa siku hiyo gasi itatumika kutengeneza upya hiyo miundo mbinu. tena kama hawako makini na hivi ni non renewable itaisha kabla hata haijamaliza kurudisha hiyo miundo mbinu.

Kama kitu hukielewi vizuri, ni busara ukanyamaza usikiongelee
 
hawa ndo viongozi wa serikali ya ccm hawana hata chembe ndogo ya uzalendo kwenye nchi yao.
 
Siamini kama suala ni kwa Col. Joseph Simbakalia kushindwa kutatua hili tatizo. Hili tatizo lina mambo mengi ndani yake. Kama kushindwa si kwa Simbakalia peke yake watakuwa wameshindwa wengi. Col. Simbakalia alienda Mtwara wakati mipango yote ya uchimbaji na usafirishaji gas imeishakuwa tayari. Hapa nadhani wanasiasa wetu wameshindwa kuwaandaa wana Mtwara kwa ajili ya Mradi huu na kuna majungu na uchochezi mwingi kuhusu mradi. Hivi ni kweli kabisa kwamba watu wa Mtwara hawataki gas itoke Mtwara? Mita zote hizo za ujazo watazifanyia nini? Wanatakiwa waelimishwe lakini kuna watu badala ya kuwaelimisha wanawachochea wafanye vurugu. Vurugu haina tija kwa Mtwara wala Tanzania. Haiwezekani kwamba gas iwe Mtwara tu wakati sehemu zingine za nchi zinaiihitaji. Barabara na Daraja la Mkapa ambalo ni kiuongo muhimu cha watu wa kusini na mikoa mingine havikujengwa kwa gas bali kwa rasilimali toka sehemu zingine za nchi.

Tanzania ni yetu sote na gas ni ya Tanzania.

Mkuu Kimbunga,

Inawezekana kati yangu mimi au wewe kuna mtu haelewi hasa Wanamtwara wanataka nini. Kwa kuelewa kwangu, Wanamtwara wanataka gesi itumike kwa manufaa ya taifa zima lakini wanataka process za kuchimba, kuprocess na kuzalisha umeme zifanyike kule kule halafu umeme utakaozalishwa ndio usambazwe nchi nzima. Wako against idea ya kuchimba gesi halafu isafrishwe in raw form kwenda Dar Es Salaam kwa ajili ya kuiprocess. Wanamtwara wanataka gesi iwasaidie kuondoka na umasikini kwa vijana wao kupata ajira n.k.

Is there anything wrong with their demands? Na kwanini serikali haikutumia muda kuwaelemisha watu wa Mtwara kwanza badala ya kutumia ubabe?

Tiba
 
Hilo jina la kuitwa wahuni ni sahihi wewe unafikili unafanya fujo za kijinga unataka uitweje,wewe mtu mzima hovyo umekaa kiuchochezi hata huna aibu jifunze kutoa elimu kwa watu kwa lengo la kuisaidia jamii na wala siyo kuchochea vurugu.

Cha msingi ni serikali kujirudi na kustrike win-win deal na wanamtwara, lakini swala la kutukanana halisaidii kitu.
 
Mkuu,
namfahamu Joseph Simbakalia tangu alipokuwa anafanya kazi Tanzania Automotive Technology centre, formerly Nyumbu project miaka ya 90`s. Alikuwa bosi wangu wakati huo akiwa mkuu wa idara ya Quality assurance. Jamaa ni mzuri sana kiutendaji. Aliwahi kuandika proposal wakati huo ya jinsi ya kuimarisha ubora ya vipuri vya kutengeneza Gari la Nyumbu kwa kuwa na maabara ya kisasa. Ni kweli wajapani walikubaliana na proposal hiyo na kufunga sophisticated machines kwa ajili ya kupima quality na correctness ya machined parts.
Ni Engineer professionally and Masters holder. Alitokea Nyumbu kwenda NDC akiwa full kanali wa JWTZ.
Kifupi ana weledi wa kutosha katika kazi. Lakini aliko sasa kuna mambo ya kisiasa ambayo yana dynamics zake.
 
Mkuu Kimbunga,

Inawezekana kati yangu mimi au wewe kuna mtu haelewi hasa Wanamtwara wanataka nini. Kwa kuelewa kwangu, Wanamtwara wanataka gesi itumike kwa manufaa ya taifa zima lakini wanataka process za kuchimba, kuprocess na kuzalisha umeme zifanyike kule kule halafu umeme utakaozalishwa ndio usambazwe nchi nzima. Wako against idea ya kuchimba gesi halafu isafrishwe in raw form kwenda Dar Es Salaam kwa ajili ya kuiprocess. Wanamtwara wanataka gesi iwasaidie kuondoka na umasikini kwa vijana wao kupata ajira n.k.

Is there anything wrong with their demands? Na kwanini serikali haikutumia muda kuwaelemisha watu wa Mtwara kwanza badala ya kutumia ubabe?

Tiba

Hapa tatizo liko kwenye mitakaba inayohusiana na hili bomba, inawezekana mkopo uliotolewa kwa ajiri hii umeishagawanywa kila mtu kaishakula chake, sasa hapo bomba lisijengwe kivipi?
 
hapa ndipo ninapomkubuka Dr Njau enzi hizo akiwa CPE akatufundisha EIA.
jamani labda tujiulize huu mradi ulifanyiwa EIA?? je waliofanya stake holders analysis walifanya kimakini?? manake nilitegemea jambo kama hili liwe lilishajulikana kabla mradi haujawa implemented na hapo lazima wangekuwa na project alternative.

natamani sana Dr Njau kama upo kwenye jamii forum utuambie jambo hapa kama ni kweli mraadi mkubwa kama huu uliwashirikisha stake holders wote. no wonder waliuliza mashirika ya tanesco na songas basi wakawaacha wananchi pasi kujua wanataka mradi uweje na sasa hii ndio pay back time.

Mentality ya akina kagasheki (Mwenye ardhi (kwa maana ya rais na kwenye hili mwenye gesi) kaamua sijui ni mjinga gani alimweleza kagasheki kwamba ardhi na resources zingine zote ni mali ya rais) ndio iliyotufikisha hapa. Dar es Salaam kwa maana ya central government kwa makosa inadhani kwamba ndio inajua kila kitu, ndio yenye akili kuliko wote na ndio inaweza kufikiri na kuamua lolote vile inavyotaka pasipo kuulizwa na yeyote why imeamua hivyo. This is completely unacceptable, hata mtoto ana haki ya kusikilizwa kama kweli unataka kuwa na mtu mzima aliyekamilika baadaye sembuse wananchi kwa ujumla wao? Ifike mahali serikali itambue kuwa inapaswa kutuongoza na si kutuburuza inavyotaka yenyewe hizo zama zimepita muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom