ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,991
- 128,623
gfsonwinhapa ndipo ninapomkubuka Dr Njau enzi hizo akiwa CPE akatufundisha EIA.
jamani labda tujiulize huu mradi ulifanyiwa EIA?? je waliofanya stake holders analysis walifanya kimakini?? manake nilitegemea jambo kama hili liwe lilishajulikana kabla mradi haujawa implemented na hapo lazima wangekuwa na project alternative.
natamani sana Dr Njau kama upo kwenye jamii forum utuambie jambo hapa kama ni kweli mraadi mkubwa kama huu uliwashirikisha stake holders wote. no wonder waliuliza mashirika ya tanesco na songas basi wakawaacha wananchi pasi kujua wanataka mradi uweje na sasa hii ndio pay back time.
Nakuelewa sana ila u have to put into consideration kwamba Tanzania haipo Dar es salaam pekee, zipo sehemu nyingi sana ambazo zimesahaulika, zinahitaji kukumbukwa. Wanamtwara wanahitaji maendeleo kama mlivyo watu wa Dar, mikoa ya kusini imekuwa chanzo kikubwa cha vyakula hapa nchini, madini na hasa gas, the gov't has to solve this, sio kulifumbia macho.
Dar yenyewe iko congested sasa hivi, hembu angalia mitambo ya Songas ilipo, kisheria ni hatari sana, ile ni gas, huwa mitambo kama ile hulipuka sana, sasa je likitokea la kutokea pale ubungo, atapona mtu?
All in all, mikoa yote inahitaji maendeleo, na kwa vile source ya rasilimali inatoka kwao, basi wasisahauliwe. Wapatiwe huduma za msingi ili nao wajione watu kama sisi tunaoishi sehemu kama Dar.
Last edited by a moderator: