Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Kama ingekuwa Enzi za Mwalimu, kibarua chake kingeota nyasi
hebu anayejua anijuze neno simbakalia maana yake nn?
radio wapo inashika mtwara? Acha ubabaishaji
We kweli zuzu. Ulitaka ahojiwe na RAdio inayoshika Mtwara tu? Kwa hiyo hata angehojiwa na BBC ungepinga kwa sababu haishiki Mtwarw?? Hivi matokeo yako ya form four yamesharudiwa kusahihiashwa au unapoteza tu muda huku JF?Radio wapo inashika Mtwara? Acha ubabaishaji
Kwani ukitaka kusikiliza Redio Wapo lazima uwe Ntwara? Mimi nilisikia maneno hayo nkiwa barabarani natoka Moro! Nshikaji amenukuu tu!