Wana JF kwa sasa nipo katika hoteli ya OLd BOMA nashuhudia hali ilivyo hapa mikindani, eneo limezungukwa na askali na hakuna uwezekano wa kwenda mjini wala kwenda LIndi baada ya daraja la hapa mikindani kulipuliwa na watu wasiojulikana.
Hata hivyo kwa mshangao mkubwa au kwakutojua kinachoendelea mtwara, mh. Simbakali amesikika akikanusha kuwa hakuna jambo jipwa yote nayotokea hapa ni yakawaida" wewe mwandishi unaonekana huna masikio, nakwambia hakuna kitu kilichotokea cha ajabu hapa, watu wachache walijaribu kulet VURUGU LAKINI TUMEWADHIBITI, hakuna kifo wala nyumba iliyohariiwa, watu wanaendelea na shughuli zao nkama kawaida, mpigie mtu yeyote wa mtwara atakwambia" kwa maneo hayo nimeshituka sana kwani hali ni mbaya kuliko kawaida na yeye anasema hakuna jipya, inwezekana siyeye anayezungumza bali kachanganyikiwa na hali hiyo.
Wana JF, hebu tuchangie hasa kwa wale wanaomfahamu mkuu huyu
Source: RADIO WAPO NA MM MWENYEWE NIYEPO MIKINDANI MUDA HUU
Hata hivyo kwa mshangao mkubwa au kwakutojua kinachoendelea mtwara, mh. Simbakali amesikika akikanusha kuwa hakuna jambo jipwa yote nayotokea hapa ni yakawaida" wewe mwandishi unaonekana huna masikio, nakwambia hakuna kitu kilichotokea cha ajabu hapa, watu wachache walijaribu kulet VURUGU LAKINI TUMEWADHIBITI, hakuna kifo wala nyumba iliyohariiwa, watu wanaendelea na shughuli zao nkama kawaida, mpigie mtu yeyote wa mtwara atakwambia" kwa maneo hayo nimeshituka sana kwani hali ni mbaya kuliko kawaida na yeye anasema hakuna jipya, inwezekana siyeye anayezungumza bali kachanganyikiwa na hali hiyo.
Wana JF, hebu tuchangie hasa kwa wale wanaomfahamu mkuu huyu
Source: RADIO WAPO NA MM MWENYEWE NIYEPO MIKINDANI MUDA HUU
Licha ya vurugu na patashika iliyotokea leo na inayoendelea katika viunga mbalimbali vya mji wa Mtwara, Mkuu wa Mkoa huo Bw.Joseph Simbakalia amezungumza na Wapo Radio jioni ya leo akisema kwamba kwa siku nzima ya leo Mtwara hali ilikuwa, shwari kabisa na changamoto zilizotokea ni za kawaida tu.
SOURCE: Wapo Radio