Unakumbuka yule msemaji wa Iraki alipokua anaambiwa wanajeshi wa marekani wapo airport, akawa anabisha na kusema wakikanyaga mto Tikrit basi hapo ndo patakua makaburi yao. Akaonyeshwa video wamevuka, akawa anabisha kabisa.
Radio wapo inashika Mtwara? Acha ubabaishaji
hebu anayejua anijuze neno simbakalia maana yake nn?
hebu anayejua anijuze neno simbakalia maana yake nn?
Baba mwongo unategemea nini kutoka kwa watoto?