johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro mh Anna Mghwira amesema kifo cha bwana Arthur Shoo aliyekuwa Katibu mkuu wa KKKT dayosisi ya kaskazini ni ushahidi kuwa Corona imerudi tena.
RC Mghwira ambaye ameongozana na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa katika ibada ya mazishi ya Shoo amesema kamati yake imetoka kutathmini hali ya maradhi haya katika mkoa na amewaomba wananchi kuendelea kuchukua tahadhari zote.
Naye askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo amesema kuanzia mwezi January Kanisa limezika watu wengi hivyo amewaomba waumini kuchukua tahadhari tena na tena dhidi ya Corona kwa sababu ugonjwa huu upo na unaua.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
RC Mghwira ambaye ameongozana na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa katika ibada ya mazishi ya Shoo amesema kamati yake imetoka kutathmini hali ya maradhi haya katika mkoa na amewaomba wananchi kuendelea kuchukua tahadhari zote.
Naye askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo amesema kuanzia mwezi January Kanisa limezika watu wengi hivyo amewaomba waumini kuchukua tahadhari tena na tena dhidi ya Corona kwa sababu ugonjwa huu upo na unaua.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!