Habari wanajamvi.....
Wapi alipo kijana mwenzetu,Kijan machachari,kijana anayejitumaaaa na kuhakikisha wananchi wake anaowangoza(wananchi wa jiji kubwa,jiji la Dar es salaam) kupata haki zao bila kunyanyaswa na mtu yeyote bila kujali cheo cha mtu,udogo wala ukubwa
Wananchi wa Dar es salaam wamefurahia sana uwepo wa huyu Kijana hasa wale wa hali ya chini,ambao walikuwa wanasanyanyaswa kwa hali waliyonayo na Mkuu wa Mkoa(Paulo Makonda) alihakikishaaa kuwa wote waliodhulumiwa wanapata haki zao
...
Kijana huyu alikuwa amsha amsha,jiji la Dar es salaaam linahitaji kijana Kama hyu Kijana Machachari.....
Sasa naona siku hizi amekuwa kimya sana kulikoni???Au tayri kashaweka sawa matatizo ya wananchi wake?? hasa wale waliodhulumiwa ardhi zao maan Ardhi ni uti wa mgongo..
Wapi alipo huyu kijanaaaaa...Tunamhitaji aendelee kuweka hili jiji sawa.