Nimesoma mahali yupo hukotoka Noel. Hayo ya kulipiwa au analipa atatufahamisha. Nafikiri atatoa mrejesho.analipiwa na nani hiyo safari ? au amelimbikiza kibubu mpaka kimejaa
Nimesoma mahali yupo hukotoka Noel. Hayo ya kulipiwa au analipa atatufahamisha. Nafikiri atatoa mrejesho.analipiwa na nani hiyo safari ? au amelimbikiza kibubu mpaka kimejaa
Mi machinjioni Igoma Mwzkwani mh mkuu wa mkoa kwao ni USA?
View attachment 455584 huyo hapo Boston,hela ya siku moja hapo unasomesha shule nzima ya msingi kwenu huko Busega
Cha kujiuliza kabla ya kuwa mkuu wa mkoa amewahi kusafiri huko canada na Us ?Sasa ya pesa yanakuhusu nini nae anafanya kazi?
Mtu yoyote akioanga anafuka huko alipoenda na mkewe, ni kuingiza pesa na kuamua.
Sasa ya pesa yanakuhusu nini nae anafanya kazi?
Mtu yoyote akioanga anafuka huko alipoenda na mkewe, ni kuingiza pesa na kuamua.
Makonda yupo likizo ya MwakaNasoma kuhusu DC Happi kukaimu nafasi ya RC sifahamu mkuu wetu wa mkoa yu wapi na nini kimemfanya asitekeleze msjukumu yake.
Hope yu mzima wa afya somewhere
Cha kujiuliza kabla ya kuwa mkuu wa mkoa amewahi kusafiri huko canada na Us ?
Wewe ni mfia chama,mchumia tumbo hujali watu waliobunjiwa Majohe,Mbezi mwisho,wanaolala nje huko Kagera ila tumbo,okay,nakuheshimu na kwa taaluma yangu naomba nisijibizane na wewe!
... Ni kweli, some years back kulikuwa na mkurugenzi mmoja in one ministry alikuwa na mtindo wa kutoka kazini very late, yaani sometimes mpaka saa nne usiku. Sasa katibu mkuu aluyekuwepo huyo director alikuwa amemuweka mfukoni kwa rushwa. Mungu si Athumani akaja KM mpya, yaani ndani ya wiki moja yule mkurugenzi akachunguzwa na kubainika kwamba ni ufisadi mtupu uliokuwa unaendelea. Pia zaidi ya miaka 5 alikuwa hajaenda likizo, akihofia madhambi yake kuanikwa. Aliishia kupigwa chini.Sehemu zingine kama unawahi kazini na unakuwa wa mwisho kutoka kila siku na na likizo hutaki kwenda "TAKUKURU" wanakuchunguza maana hizo ni dalili za corruption.
... Aisee kumbee!!Kaenda kupandikiza mimba kwenye tumbo la uzazi la mkewe .
Kufilisika kwako kusikutie kiwew ukadhani nchi imefilisikaAkiwepo asiwepo there's no difference.
Nchi imefilisika hii.