Magufuli kamkatisha tamaa mwenzetu. Makonda kasafisha jiji lake vizuri, kafagia uchafu wote katoa, halaf jamaa ndio kaja sasa karudisha takataka sehemu zote ambazo alishafagia.
Magufuli noma, na simu zile walizokua wanapigiana zikakoma kabisa, maskini Makonda ndoto zako zote hazikutimia tena.
Magufuli noma, na simu zile walizokua wanapigiana zikakoma kabisa, maskini Makonda ndoto zako zote hazikutimia tena.