RC Makonda yupo wapi?

RC Makonda yupo wapi?

Anaonekana kwenye mitandao akiwa Marekani. Nimeshangazwa sana na tabia yake ya immaturity. Hivi Mkuu wa mkoa (by virtue of that position) unatuma picha facebook kuwaonyesha watu uko ughaibuni? That is 13th century style and thinking....
 
Anaonekana kwenye mitandao akiwa Marekani. Nimeshangazwa sana na tabia yake ya immaturity. Hivi Mkuu wa mkoa (by virtue of that position) unatuma picha facebook kuwaonyesha watu uko ughaibuni? That is 13th century style and thinking....
Wengine wote wamenyimwa kusafiri, Labda amesindikiza ujumbe wa kumsaka Mokili na yule nani yule ehee, Mange. Akileta hizo US harudi Atakuwa mgeni wa Sheriff.
 
Kwa Mujibu wa Mange atakua kaenda kupandikiza maana nasikia jamaa hazipandi zenyewe
 
Nasoma kuhusu DC Happi kukaimu nafasi ya RC, sifahamu Mkuu wetu wa Mkoa yu wapi na nini kimemfanya asitekeleze majukumu yake.

Hope yu mzima wa afya somewhere.
Kurudi kwa machinga mtaani wanaomchafulia mazingira yake kumemsononesha sana kupita kiasi, ngoja akapunzike kidogo.
 
Nasoma kuhusu DC Happi kukaimu nafasi ya RC, sifahamu Mkuu wetu wa Mkoa yu wapi na nini kimemfanya asitekeleze majukumu yake.

Hope yu mzima wa afya somewhere.
Makonda anakula bata Marekani wakati huo huo anafanya kazi ya kumsaka Mange Kimambi...ahahaaaaa
 
Yuko hosp USA. Kuna madr wa wazuri wakupandikiza. Masimango ya Mange labda yamezidi. Nahisi tu.
 
Back
Top Bottom