RC Makonda yupo wapi?

RC Makonda yupo wapi?

Yupo USA kwa wiki kadhaa sasa.
Na watu wa karibu wanasema issue mojawapo anayoshugulikia ni suala la tatizo la uzazi alilonalo yeye au mke wake.
Mheshimiwa toka afunge ndoa Miaka 6 iliyopita hajafanikiwa kupata mtoto.
Wanabodi,
Tangu ziara ya kuzunguka Mkoa wa DSM iliyofanywa na RC wetu sijapata kumsikia tena. Je ni mapumziko ya mwaka mpya au kipi kinaendelea. Mwenye taarifa atujuze!
 
Wanabodi, huyu jamaa mtu wake wa karibu amenitonya kuwa hana uhusiano mzuri na suti nyeusi wa Kijitonyama toka (1) amshauri JPM kumzika Sitta Dodoma eti makaburi ya viongozi wa kitaifa yawe Idodomya (2) Ugomvi wake na Sirro ulifika mbali pabaya (3) Kulalamika mbele ya PM (4) uhusiano wake na GSM mkulu amegundua umejaa hila za rushwa. (5) Amekuwa ni blackmail akichukua maneno ya siri kutoka kwa mkulu na kuwapelekea Mzee wa Rondo na kijana wa Bumbuli. Mambo haya kwa pamoja imekasirisha mamlaka za uteuzi na hivyo kulazimishwa kwenda likizo kujitafakari upya sasa nini kitafuata hatujui. Lakini pia hili la kukosa nguvu za kijogoo limekuwa likimfanya aropoke na kuharibu. Nadhani tumuombee.
 
Wanabodi, huyu jamaa mtu wake wa karibu amenitonya kuwa hana uhusiano mzuri na suti nyeusi wa Kijitonyama toka (1) amshauri JPM kumzika Sitta Dodoma eti makaburi ya viongozi wa kitaifa yawe Idodomya (2) Ugomvi wake na Sirro ulifika mbali pabaya (3) Kulalamika mbele ya PM (4) uhusiano wake na GSM mkulu amegundua umejaa hila za rushwa. (5) Amekuwa ni blackmail akichukua maneno ya siri kutoka kwa mkulu na kuwapelekea Mzee wa Rondo na kijana wa Bumbuli. Mambo haya kwa pamoja imekasirisha mamlaka za uteuzi na hivyo kulazimishwa kwenda likizo kujitafakari upya sasa nini kitafuata hatujui. Lakini pia hili la kukosa nguvu za kijogoo limekuwa likimfanya aropoke na kuharibu. Nadhani tumuombee.


Huyu yuko cabinet ya "wakunyumba" hawezi kugombaana na JP LEO ..labda kesho

Uhusiano wake na men in black ..hawajawahi kumpenda kwakuwa hawa men in black hawapendi mfumo ulio nje ya mfumo unaotumika bila baraka zao ambao huyu kijana na watu wengine wa karibu wa "nyumbani" cabinet wanahusika ...
Issue ya GSM imefikia mbali hadi kujengwa kwa nadharia kuwa wameshafanikiwa kumfikia mkubwa kupitia mwana ..
Mfumo hauwezi kushindwa na kijana mdogo ..its just the matter of time ...Sirro na Maja wana full support ya mfumo kwakuwa hawana kosa ..kwa hapo ..na kijana anawakosea adabu ..

hayo ya binafsi na yale ya Kaoge ...siwezi yaongelea ..

Ila radio mbao wanasema yuko kwenye operesheni maalum ya mfumo nje ya mfumo ya kumfuatilia yule binti kigagula wa Marekani .
 
Alionyesha Utovu wa adabu kwa Waziri Mkuu, Magu kamstukia akamwambia awe anawajibika kwa Mawaziri wa Tamisemi. Kuonea kwake watu kulileta picha mbaya sana PM akampiga stop.


Unakumbuka siku mbili baada ya kumkosea adabu waziri mkuu na simon sirro ....rais alimpiigia simu in an orchestrated move ....live kumwambia ana IMANI naye ,....na aendelee hivyo hivyo ..
INAHITAJI UVUMILIVU SANA KWA KWELI KUFANYA KAZI .....
Wiki mbili baadaye akamstua Wakaenda naye Ukonga kumfukuza kazi CGP ...wakati pale airport waziri wa mambo ya ndani alikuwapo ...na amekuja kuambiwa bosi wake yuko kwenye eneo la mamlaka yake kwa kupigiwa simu na wasaidizi pale ukonga akaja pale anakimbia anahema ....utasema utawala bora ....au nini ??
 
hawa watoa comment humu ndio cream ya taifa ambayo imesoma!!

halafu mnashangaa sisi kuwa hivi tulivyo??
 
Episode 2,baada ya kufkuza wamachinga na Rais akawarudisha 'jamaa' kenda likizo bila malipo huko Marekani.
 
Likizo wkt yeye anajifananisha na Mungu? Mungu gani anachoka? Amechoka kukejeli watz na kudhalilisha watumishi ndo anapumzika sasa......
Hovyoooo
 
Back
Top Bottom