johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Gwaride la KIMYAKIMYA
Endelea kujitekenya tu.Kufilisika kwako kusikutie kiwew ukadhani nchi imefilisika
dalili za kishiwa hizo 🙂Endelea kujitekenya tu.
Hahahaha hili nalo neno mkuukwani mh mkuu wa mkoa kwao ni USA?
Fulu kujivurugaHahahaha hili nalo neno mkuu
Una mikwaraWewe ni mfia chama,mchumia tumbo hujali watu waliobunjiwa Majohe,Mbezi mwisho,wanaolala nje huko Kagera ila tumbo,okay,nakuheshimu na kwa taaluma yangu naomba nisijibizane na wewe!
Hahahaha kwani dr mwaka alishindwa kazi?????Ameenda kujaribu kupandikiza
huoni hazingatii falsafa ya kubana matumizi inayosemwa na mkubwa wake?
Nasoma kuhusu DC Happi kukaimu nafasi ya RC sifahamu mkuu wetu wa mkoa yu wapi na nini kimemfanya asitekeleze msjukumu yake.
Hope yu mzima wa afya somewhere