RC Makonda aibiwa simu

RC Makonda aibiwa simu

Hivi ni kweli kabisa alikuwa na mkono mfupi kwenda mbele?
Mkuu unadhani kwa wale wajumbe wote kwa nini wanyooshe kidole mtu mmoja? Ni kuwa alikuwa akionekana karibu simu zinawekwa kwenye mikoba au kuondoka. Ilikuwa ni aibu sana, ila si unajuwa kuna watu walizaliwa na uso wa mbuzi? They dont care
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio alibaini simu haionekani.

Chanzo: JamboLeo
Waandishi wa habari ndio wamekwapua simu ya RC au?
 
Mkuu unadhani kwa wale wajumbe wote kwa nini wanyooshe kidole mtu mmoja? Ni kuwa alikuwa akionekana karibu simu zinawekwa kwenye mikoba au kuondoka. Ilikuwa ni aibu sana, ila si unajuwa kuna watu walizaliwa na uso wa mbuzi? They dont care
kwahiyo ilikuwa simu zikimuona tu zinaanza kuota vipele vya baridi hata kama kuna joto
 
Hapo kwa namna moja au nyingine anawatuhumu waandishi wa habari kiaina...jamaa anapenda umaarufu wa haraka ila njia za kutumia kuwa maarufu zina walakini..


Anawatuhumu aliokaa nao high table
 
Amfuate Mzee Akilimali aliibiwa kibarakashehe alitoa mkwara ikarudi .
 
Si kuna habari humu ilikuja kumtahadharisha Bob juu ya hawa na kina Marope sijui na rizimoko ,walio chukua simu wanajua waliko ipeleka
Mkuu wameichukuwa wazee wa mfumo!!Mle kuna mambo mengi mle.
Wameichukuwa wenye nchi yao kwenda kuthibitisha yaliyosemwa..Msg zitakuwa zinatiririka tu wakijuwa jamaa ndio anayo simu
 
Mkuu wameichukuwa wazee wa mfumo!!Mle kuna mambo mengi mle.
Wameichukuwa wenye nchi yao kwenda kuthibitisha yaliyosemwa..Msg zitakuwa zinatiririka tu wakijuwa jamaa ndio anayo simu
Hahaha si ndio maana jamaa akaja public kutuma ujumbe kwa hao anaowasiliana nao ili wajue hana simu
 
Kuna mashujaa wengi wanaoweza kumuibia hata RC simu,niliwahi sikia RC Makamba aliwahi ibiwa wakati akiipokea timu ya Simba
 
Hata hivyo ilikuwa ya msaada alafu ile simu si ndo alikuwa anaitumia kufanyia ukasuku wake
 
Back
Top Bottom