Hajatajwa siku nyingi..kafunikwa na UKUTA hivyo anatafuta kikihapana hiyo simu atakuwa ameificha makusudi yeye mwenyewe kwasababu anazo zijua yeye.
mm makonda simuani hata kidogo kwasababu mara nyingi huwa anaongea vitu ambavyo haviwezekani.
Kuna vibaka mpaka ofisini kwa RC ?? Hataree