Anatafuta ile ya raynavy raymondHapana hiyo simu atakuwa ameificha makusudi yeye mwenyewe kwasababu anazo zijua yeye.
Mimi Makonda simuani hata kidogo kwasababu mara nyingi huwa anaongea vitu ambavyo haviwezekani.
Huyu atakuwa anatafuta kick hakuna kitu kingineKilichonishangaza sio Makonda kuibiwa simu,bali walioamini hii 'habari'.
Safari hii zamu yake AnalipwaIle ya bunge la katiba au!?
Simu iliibwa bunge la katiba sembuse ofisini kwa RcKuna vibaka mpaka ofisini kwa RC ?? Hataree
Hapana ya kurunziNokia ya tochi?
Hapana leo yeye ndio kaibiwa, duhIle ya bunge la katiba au!?
SO NI TRUMP WA BONGO SIOHapana hiyo simu atakuwa ameificha makusudi yeye mwenyewe kwasababu anazo zijua yeye.
Mimi Makonda simuani hata kidogo kwasababu mara nyingi huwa anaongea vitu ambavyo haviwezekani.