Tutasikia mengi mwaka huu.......................................................Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio alibaini simu haionekani.
Chanzo: JamboLeo
Reap what you sowYeye aliiba simu bunge la katiba so what goes around comes around__________law of karma
Wale wamama wa Bunge la katiba watakuwa wanaangua kicheko kuona mtaalamu wa kukwapua simu naye kakwapuliwa.muosha huoshwa aliosha nae kaoshwa.
swissme
Hivi ni kweli kabisa alikuwa na mkono mfupi kwenda mbele?Wale wamama wa Bunge la katiba watakuwa wanaangua kicheko kuona mtaalamu wa kukwapua simu naye kakwapuliwa.
Hili ni fundisho kuwa mtenda hutendwa