USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Mkuu wangu wa mkoa amesema amesikitishaa na msanii Diamond kuwa balozi wa usafi huku Ally Kiba na Harmonize wakipokea kwa moyo mweupe
Hii amezingua au mmasemaje mwanaJF wenzangu hizi shughuli za kijamii hata huko mbele wasanii wana tabia hizi za kunatanata
USSR
Hii amezingua au mmasemaje mwanaJF wenzangu hizi shughuli za kijamii hata huko mbele wasanii wana tabia hizi za kunatanata
USSR