johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,010
RC Makalla ni Kada mkongwe wa CCM na amewahi kuwa Mhadhini wa Chama hivyo kauli zake zina uzito wa kitaifa.
Makalla amesema Diamond Platnumz ni mkubwa kuliko CHADEMA. Sasa kama CCM imemuomba Diamond Platnumz aje kuwakabili CHADEMA ina maana wao wamezidiwa. Kwahiyo CHADEMA ni mkubwa kuliko CCM na Diamond PlatnumZ ni mkubwa kuliko Vyama Vya Siasa 😄😄🔥.
Nawatakia Dominica njema 😀
Makalla amesema Diamond Platnumz ni mkubwa kuliko CHADEMA. Sasa kama CCM imemuomba Diamond Platnumz aje kuwakabili CHADEMA ina maana wao wamezidiwa. Kwahiyo CHADEMA ni mkubwa kuliko CCM na Diamond PlatnumZ ni mkubwa kuliko Vyama Vya Siasa 😄😄🔥.
Nawatakia Dominica njema 😀