Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,270
- 4,975
Atakubalije swala la usafi wakati yeye ni mchafu.Mkuu wangu wa mkoa amesema amesikitishaa na na msanii diamond kuwa balozi wa usafi huku All kiba na Hormones wakipokea kwa moyo mweupe
Hii Domo amezingua au mmaseamaje mwanajf wenzangu hizi shugli za kijamii hata huko kwenye mbele wasanii wanatabia hizi za kunatanata
USSRView attachment 2034294