Contents is the most concernedKwahiyo hiyo 2008 haina umuhimu wowote kwenye hiyo video?!!!
Tarehe ya Camera haijarekebishwa, ila huo mjadala unaofanyika hapo ni recent kabisa kwasababu 2008 hao wanaotajwa hawakuwepo kwenye hizo nafasi.Mbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!
2008 Gambo alikuwa RC? Hao madiwani walijiuzulu mwaka 2008?Dah wabongo tuache kudanganyana unapoamua kufanya jambo hakikisha mazingira unayofanyia hilo jambo yanaendana na uhalisia wa jambo la sivyo utajikuta mishipa inakutoka kushupalia jambo kumbe lina erros ambazo zinaonekana hata kwa mtoto hivyo recod inaonekana 2008 mhusika anafanyiwa interview alafu bila kujijua mishipa inakutoka kwapa zinanuka hushtuki yaani kila siku tunalalamika bongo movie wanakera movie hazieleweki kumbe vitu kama hv haviangaliwi acheni kunywa maji ya bendera mtakufa mm napita hv Homa ya manjano na kijani + pundamilia
Sawa mkuu lakini na hiyo 2008 siyo ya kuipuuzia!!Contents is the most concerned
tarehe kwenye camera ni suala la setting tu hata sasa hivi simu yangu inaweza kuonesha ni 1.12.2005Mkuu usipanic nimeuliza tu hiyo 2008 kwenye hiyo video inamaanisha nini?!!l
Hapana hiyo ni tarehe ya camera hawakuirekebisha.Hoja zinajieleza mkuu hata muda unaona ni saa saba usiku ila video ni mchana dats logicMbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!
Ok, basi yawezekana hiyo camera ni mtumba au iliibwa pahala fulani!!Tarehe ya Camera haijarekebishwa, ila huo mjadala unaofanyika hapo ni recent kabisa kwasababu 2008 hao wanaotajwa hawakuwepo kwenye hizo nafasi.
Tarehe 09, mwezi wa 01, 2008. Ni shiiida sana hii kitu.Mbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!
2008 mnyeti alikuwa DC?Dah wabongo tuache kudanganyana unapoamua kufanya jambo hakikisha mazingira unayofanyia hilo jambo yanaendana na uhalisia wa jambo la sivyo utajikuta mishipa inakutoka kushupalia jambo kumbe lina erros ambazo zinaonekana hata kwa mtoto hivyo recod inaonekana 2008 mhusika anafanyiwa interview alafu bila kujijua mishipa inakutoka kwapa zinanuka hushtuki yaani kila siku tunalalamika bongo movie wanakera movie hazieleweki kumbe vitu kama hv haviangaliwi acheni kunywa maji ya bendera mtakufa mm napita hv Homa ya manjano na kijani + pundamilia
Kawadanganye watoto na watu wazima wa ufipa!!Tarehe ya Camera haijarekebishwa, ila huo mjadala unaofanyika hapo ni recent kabisa kwasababu 2008 hao wanaotajwa hawakuwepo kwenye hizo nafasi.