RC Gambo ameikosea Mamlaka, aondolewe haraka

Haya mmeamua kutafuta biashara nyingine baada ya kushindwa ya Kinana.!! Daaaaaa !
 
Gambo siasa za chuki hazitakusaidia kumchukia Lema ni kutuchikia wakazi wa Arusha
 

Mkuu;
Mbona unalipigia jibu mstari?? Unauliza ati Nnani mwenye mihemko?? Hujioni?? Yaani hata kusoma ulicho andika ni kazi kwako?? Pole zako. Sibishani na wenye mihemko, naona BP ishakupanda tiyari. Angalia usije anguka gizani saa hii wakasema ulikuwa miongoni mwa wahanga wa hiyo ajali
 
Vipi kama alimuuliza ''Hawa vipi, tuwaweke??'' Gambo akamjibu hapana... watachafua hali ya hewa!Bado unataka tukuamini??
 
kama hii ni kweli basi ni dharau kwa mamlaka ya Makamu wa raisi haina mfano, achukuliwe hatua za kinidhamu
 
Umeruka hoja umeleta viroja.

Hujibishani na mwenye mhemko wakati ushanijibu na utanijibu?
 
Na kuonyesha hilo limemkera Mh Makamu wa rais ikabidi awatambue wakati anajiandaa kutoa pole. Sasa asiye jaribiwa au kupangiwa atafanya jambo??
Sijamsikia akimtaja Lema, nimesikia amemtaja Meya tu,
 
Mbowe kaongea kama Nani ? Na kivipi mbunge hajaongea?
 
Inawezekana muda huu analaumiwa Magufuli lkn lazima turudi ktk ukweli kwamba haya ni makosa toka tawala zilizo pita hasa baada ya mwalimu Nyerere na mzee Mwinyi. Kuna teuzi za hovyo sana bila wahusika kuangalia hata mahali wanapeleka wehu wao! Mtu hana uzoefu wowote wala hajui diplomas unateua kuwa mkoa kama Dar au Arusha!!
 
Mnaoiona sio hoja ya msingi mna matatizo makubwa sana!
Hivi nani kafiwa kati ya gambi na Lema? Nani alichaguliwa na wana Arusha ambaye angeongea wafiwa wangepata faraja?

Kutambua uwepo wa jokate na bashite kulikuwa na umuhimu kuliko Mbunge na Meya wao wana Arusha?!

Hawa vijana wawili bashite na gambi inabidi wajitafakari mtawala mpya ajaye hata kama ni wa ccm watakuwa wapi, maana tunaona kila mtawala mpya wa ccm anakujaga na watu wake.
 
Ivi mkuu wa shule aliongea? Vp kuhusu mwenyekiti wa serikali ya mtaa shule ilipo? ivi Mboe si aliongea!
 
Kikubwa nawasikitikia hawa vijana
Baadae watafanya nini wakitoka madarakani
 
Sijaongelea viongozi.

Naongelea wananchi hapa jamvini.

Hao viongozi bila msukumo wa wananchi hawawezi kufanya lolote la maana.

Na wananchi wamebaki kukaa kuwaangalia viongozi.
Mwananchi hana mamlaka zaidi ya kutoa mwongozo na mawazo yake kwa viongozi wao ili kuweka sheria za kudhibiti ajali.Sasa ndiyo hao wanahold hata misiba utegemee nini cha maana.
 

Hao ndiyo vichwa vya CCM Mkuu wangu.

Lakini huyu ndiye aliyefukuzwa kazi na Tume ya Nidhamu ya watumishi wa Umma baada ya Kumtukana Wakili wa Halmashauri kwamba amepata degree kwa chupi.

Huyu asiye na nidhamu Rais wetu aka Mwenyekiti wenu akamuona ndiyo kichwa sababu CV yake Inaonyesha ni mtu mwenye matusi na chuki na pia ni Msukuma.

Huyu I mmoja wa watu wachache wanapewa kichwa na Mkuu wa nchi,usitegemee ataguswa.

Pole.Bastola ya kupoteza wanaohoji.
 
Mwananchi hana mamlaka zaidi ya kutoa mwongozo na mawazo yake kwa viongozi wao ili kuweka sheria za kudhibiti ajali.Sasa ndiyo hao wanahold hata misiba utegemee nini cha maana.


Mamlaka yote katika nchi yanatoka kwa mwananchi.

Ndiyo maana hao viongozi wanahitaji kupata kura za wananchi.

Hao wabunge wanaotunga sheria wanachaguliwa na wananchi na wanawakilisha wananchi.

Kama viongozi hawafanyi wanachotakiwa, wananchi wamewadekeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…